Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

well, the color of your passport doesn't matter, jang'o, kyuk, kamba, chagga, haya, pare, baganda, xhosa, nilote, whatever, RESPECT
 
some of these postings,put the credibility of JF on tenterhooks,makes one feel sick,sometimes freedom of expression,destroys instead of building bridges we are venting our day to day frustuations on unimagineable blaspemous avenues
 
Amen to that, some one with sense! This mc cain supporter is waaaay out of line with this one!
 
I understand, the truth is sometimes bitter. I don't hate you, I pity you...
 
sasa wewe nyani McCain,you hate someone you hardly know,au humu ndani mnajuana,what if it happens unknowingly the person you hate,happens to be your shemeji etc etc,will you eat humble pie and apologize
 
sasa wewe nyani McCain,you hate someone you hardly know,au humu ndani mnajuana,what if it happens unknowingly the person you hate,happens to be your shemeji etc etc,will you eat humble pie and apologize

I don't have a shemeji. I hate you too
 
nyani mc cain, hate or no hate, you have symptoms of depression and frustration. Before things get out of hand I would advice you to seek psychiatric advice, It happens and people do get better and have a more positive outlook on life....
 
Hey, this is a bit of a mouthful. Afterall, we are known for the respect ya Wazee! Let Mwalimu rest in eternal peace. He tried didnt he? Were it not for him, most of us would still be herding two goats and that is the least I can say. Along the lines of such parochial thinking, let me just say, ficha upumbavu wako as the rest of us do not have to know!!!
It is not what Mwalimu could have done for YOU, but what YOU can also do for Tanzania yourself!!
 
JK:Si kila kiongozi ni fisadi

Na Mwandishi Maalum, Washington D.C

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amesema si kila kiongozi wala kila mtumishi wa umma barani Afrika ni mla rushwa ingawa amekiri kwa kiasi fulani tatizo hilo bado lipo barani humo.

Rais alitoa kauli hiyo alipokuwa akijibu maswali baada ya kumaliza hotuba yake kwenye mkutano na wajumbe wa taasisi ya Foreign Policy Brain Trust ambayo ni ya wabunge wenye asili ya Afrika mjini Washington.

"Tusijiweke katika hali ya kutengeneza mazingira ya kwamba kila jambo linaloendelea katika Afrika ni rushwa tu," alisema Rais Kikwete.

Aliongeza kuwa: "Hatukatai kuwa ipo rushwa katika Afrika. Tunachosema ni kwamba jambo hilo linatiwa chumvi nyingi kupita kiasi".

Kuhusu Tanzania, Rais Kikwete alisema kuwa Serikali yake inapambana kwa dhati na changamoto hiyo ya rushwa kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya Tanzania.

"Moja ya dalili za Serikali inayokula rushwa ni kushuka kwa mapato ya Serikali au Serikali kushindwa kukusanya mapato. Mapato yetu (Tanzania) yamekuwa yakiongezeka kila mwaka tokea tulipoingia madarakani," alisema Rais Kikwete na kushangiliwa.
 
Ni kweli vita ya rushwa imepamba moto lakini tofauti ni sasa hivi rushwa ndio inayopambana na serikali.Mapato yanaongezeka?[yameshuka] lakini atajuaje huku hatulii ofisini? Na mfumuko wa bei nao si angejisifu kwa kuongezeka?
 
Last edited by a moderator:
Huyu msanii ´kazi yake kula tu hela ya watanzania bila mpango. Kuonegzeka kwa ukusanyaji nadhani sio kipimo sahihi kuwa amepambana na Rushwa. Nadhani tunatakiwa kufahamu kiwango cha uwekezaji kilichopo na baada ya hapo ndio tufahamu kuwa mapato yatokanayo ni kiasi gani.

Wakati Mkapa anachukua nchi Dola moja ya kimarekani ilikuwa karibia Tsh 500, sasa ni 1200. Inamaana kama wakati ule tulikusanya Tsh 100,000, na leo tukikusanya Th 240,000 bado hakuna ongezeko. Kuna secta nyingi zimeuzwa: Hizi nazo zinaongeza wigo wa mapato lakini sio kuwa zinaonyesha kupungua kwa rushwa kwa zitakuwa tu chanzo cha mapato.

Nadhani kikwete angetuambia kuwa: Nimewezesha kukubali ufisadi unaofanyika tanzania japo kujulikana kidogo, lakini ameshindwa kupambana na mafisadi makubwa kwa kuwa yanamzidi kimo na anahofu kuwa huenda wakamwangusha 2010, kwa kuwa wao ndio waliompa urais na wala sio Watanzania.

Rais wa ajabu, sijui ana nini na marekani. Atuambie asindelee kutudanganya hata kama kama kuna bi.mdogo basi tujue!
 
Akili ya huyu mzee anaijua mwenyewe .Mie hata siku hizi kumsoma ama kumsikiliza akiongea sina muda tena .Ni mtupu wa ajabu .
 
He has still not made the transition from foreign minister to president si mlimuona anavo take notes UN hiyo sio kazi ya raisi.
 
Akili ya huyu mzee anaijua mwenyewe .Mie hata siku hizi kumsoma ama kumsikiliza akiongea sina muda tena .Ni mtupu wa ajabu .

Lunyungu, mkuu hata mimi, same sentiments, hata nikiona hapa JF headline kuhusu huyu mtalii sitaki kusoma maana ananipotezea muda. I am so disappointed in Tanzanian politicians kwamba niko kheri kufuatilia siasa za Marekani kuliko za hapa. Ni upuuzi mtupu! Hakuna serikali wala rais hivi sasa gari liko free, tunaenda kwa kudra za Mwenyezi Mungu!
 
Nadhani kuna wenye akili zao wanatushangaa Watanzania kumpa urais msanii kama JK,hasa wale wenye kuifahamu TZ kupitia falsafa za Nyerere (regardless ya uzuri au ubaya wake).JK ni bogus,he knows it lakini analeta utoto wa mjini.Hata mimi mara nyingi napoona habari za huyu mzushi naamua kutozisoma kabisa kwa vile ni sawa na kupoteza muda wangu bure.
 
Back
Top Bottom