Sura-ya-Kwanza
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 568
- 12
Mie nataka kusoma pale aliposema amewashinda waungwana waliopita...🙁
Zaidi ya hapo sijawai kusoma kokote ulimwenguni sehemu au Nchi isiyokuwa na Rushwa...! Unabisha?
Nani hajawai kutoa rushwa? Hata kwa mkewe, rafiki,na wengineo wanaotuzunguka- iwe kijamii kibiashara kisiasa na sijui nini tena!
Rushwa Itakuwepo Ilikuwepo na Itaendelea Kuwepo-Kwa msemo huu nafikiri alichokinena mkuu wa D-Ville ni kweli kabisa-Siyo mijitu yote Afrika ni wala rushwa-Chumvi nyingi!
KB!!!
Zaidi ya hapo sijawai kusoma kokote ulimwenguni sehemu au Nchi isiyokuwa na Rushwa...! Unabisha?
Nani hajawai kutoa rushwa? Hata kwa mkewe, rafiki,na wengineo wanaotuzunguka- iwe kijamii kibiashara kisiasa na sijui nini tena!
Rushwa Itakuwepo Ilikuwepo na Itaendelea Kuwepo-Kwa msemo huu nafikiri alichokinena mkuu wa D-Ville ni kweli kabisa-Siyo mijitu yote Afrika ni wala rushwa-Chumvi nyingi!
KB!!!