Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Si-unajua tena kuanzia midnight leo hakuna public transport hapa London. kwa hiyo wenye cab ndio mavuno yao.
 
Tuacheni watu wa Msanga, hatuna maneno na mtu, breakfast yetu saaa tano asubuhi, dinner saaa kumi mchana, ugali na dagaa wawili ila mchuzi kwa wingi,

Hatuna noma, Mzee Jk kachola tulikuwa tunatembea kifua mbele, sasa tunaanza kutembea vichwa chini Jk mwanangu aibuuuu, sisi tulikutegemea mkombozi wetu zaramo, sasa vipi mwanangu?
 
Mzee ES,
Swali hili sisi wazee tumuulize Michuzi aliyekuwa akimpigia debe toka Ubunge!...
 
Wakuu,
Mnaweza kuja kumsikiliza Former Mayor wa Dar es salaam Ndugu Kleist Sykes(mtoto wa Mzee Abdulwahid Sykes) akiongelea kitabu cha Mohamed Said na mchango wa Familia ya Sykes kwenye hiko kitabu na katika harakati za uhuru.

Karibuni.

www.RadioButiama.com
 
Mzee Butiama,

Huyu ndiye hasa aliyeleta Richmond huyu, ndiye waliyemtuma kule US kushiriakiana na Daraja kuleta ule utapeli, halafu sasa wamempa kazi nyingine ya ulaji ulaji, mzee wangu mbona hukuniambia kabla ya kumhoji?

Ninakumbuka mara mwisho uliniambia kuhusu kumhoji jamaa mmoja, lakini huyu ungenifahamisha huyu, ndugu yangu ningekupatia mambo yake huyu Mtandao mkubwa, huyu!
 
Mzee ES,
Sikujua hilo aiseh.Mie niliwa PM jamaa wacheache ambao walikuwa vinara kwenye hii topic ya Nyerere, Uislam na Uhuru wa Tanganyika.
 
Mzee ES,
Taratibu mjomba, Kreist na Richmond tena?..

Navyofahamu huyu Meya ni mtumiwa tu ambaye hana sauti yeyote zaidi ya kuambiwa mkao wa kula!...Kashindwa mengi kuwapa watu wake wa karibu kwa woga wa kuhesabiwa ktk kundi hilo..Mtandano!
 
Mkandara,
Na ubalozi wa Washington haukuhusishwa kabisa katika hili swala la Richmond. Uamuzi ulikatwa kule kule nyumbani, kwa hiyo nahisi hata mzee Daraja anasingiziwa.
 
Hebu fanyeni utafiti kazi waliyompa sasa hivi, na hela anazolipwa kwa mwezi? Hiyo kazi ni katika kumpa ahsante na kumnyamazisha asiseme kuhusu Richmond, ninajua kuwa alitumwa tu,

nasikia hasira hata kusema kazi waliyompa sasa, hebu fanyeni utafiti muone jinsi bongo wajinga ulivyo wali wetu!
 
Eee bwana IO ulikuwa unamjua Sokoine. Kudos!

Haya ya Keist tena, haya bwana, Mzee ES lete vitu kabla hujaaga!
 
Hivi mnaendesha malumbano haya ili kundi lipi kati ya waisalam na wakristo lionekane limeshinda. Nyerere kama walivyo watawala wengine duniani kote walikuwa na namna zao kuengua watu wakorofi.
Ninachoshauri mimi ni waandishi wa vitabu kutoegemea upande wowote na wachambuzi nao wasionyeshe dini kama kigezo kikubwa ili tuweze kupata historia sahihi ya nchi yetu. Inasikitisha sana kuona historia kubwa ya nchi inayoandikwa inahusu ushiriki wa nyerere kwa sehemu kubwa na hainyoshi ushiriki wa watu wengine kabla ya nyerere kuanza siasa.
Tuandike historia yetu kwa usahihi kwani historia ndiyo utaifa
 
sidhani kama issue ni kati ya waislam na wakriso bali ni kati ya waisam na serikali
 
Waungwana natatizwa na baadhi ya siasa za Nyerere, na nitafurahi kama nitapata majibu ya maswali haya.


Hivi mwalimu Nyerere aliposema "SIASA NI KILIMO" alikuwa na maana gani?


Mwalimu alisema ili nchi iendelee inahitaji "watu, ardhi, siasa safi, na uongozi bora." Je hii ni development theory?
 
Mgonjwa Ukimwi,
Karibu tena Mwinyi... karibu.
Hilo la - SIASA NI KILIMO, ndio kwanza nalisikia toka kwako, sijui hotuba ipi aliwahi kusema hivyo..

Swala la - Watu, ardhi, siasa safi, na uongozi bora, hii ndiyo pure siasa!.. Uongo unaokubalika ambao mimi binafsi naamini kuwa Siasa ni Sanaa - Politics is Art..where by there are no hard distinctions between what is real and what is unreal, nor between what is true and what is false. A thing is not necessarily either true or false; it can be both true and false.!


Sasa kama unavyoitazama picha ilochorwa kuna kila tafsiri na bora zaidi inayokubalika ni ile ya msanii mwenyewe!..
 
Duh!!! Hii mada kweli inalenga haya maswali ama kuna zaidi ya haya maswali ?
 
Lunyungu,
Sijatoka nje kabisa ya hii mada ila sielewi Nyerere alikuwa na maana gani Kiuchumi!.
Mathlan - Watu. 1. Sijui kuna taifa gani lisilokuwa na watu!.. 2. Ikiwa alikuwa na maana ya watu wenye elimu basi kwa nini asiseme ELIMU, labda elimu pekee pia haijitoshelezi kuna vitu kama ari (will) na ujuzi (skill) ya maendeleo hayo yanayokusudiwa. 3. Ikiwa ni watu wenye uwezo wa kufanya kazi - well, hapa pia kuna Utata ikiwa nchi haina Waajiri!..

Kwa kutoelewa kwangu maana hasa ya meneno hayo ya Nyerere ndio maana nimetanguliza mtazamo wangu wa hii misemo ya kisiasa.

Leo hii hapa nilipo sielewi kabisa maana ya hii - Kasi, Ari na nguvu mpya!..
 
Admin,
Hii sio mada ya uchumi hata kidogo isipokuwa Siasa inavyotumika ktk maendeleo.
Umeihamisha bure!!
 
Back
Top Bottom