This is why I said you better check your facts before; The government never owned ujamaa farms or villages.
There was no forced labour to anybody you better check your facts and differentiate with fiction.
Dua
Member Join Date: Nov 2006
Posts: 89
Rep Power: 1
jokaKuu
Sokoine alikuwa PM 13 Feb 1977 hadi Nov 1980 alipojiuzulu kutokana na afya yake. Alirudi tena kuwa PM 23 Feb 1983 baada ya kutibiwa hadi Feb 1984 alipofariki kwa ajali.
1. Upeo upi ambao unaongelea?
2. Je ni nani aliamuru bidhaa kutoka nje kuingizwa Tanzania na wafanya biashara ambazo zilikuwa hazipatikani Tanzania kwa wakati ule?
3. Ni nani ambaye alikuwa na ubavu pekee kumweleza mwalimu matatizo ya wakati ule?
4. Sikusema Sokoine alikuwa waziri mkuu bora kuliko wote kwa sababu sina data, hayo ni mawazo yako – kwa vile umeliongelea hilo Je unaweza kuweka data hapa za uchumi wa Tanzania tangu tupate uhuru ili tuweze kulinganisha ni waziri mkuu yupi alikuwa bora?
5. Ni waziri gani mkuu aliyefuata kanuni na misingi ya uendeshaji wa uchumi na ametufikisha wapi?
6. Ni wapi ambapo mwalimu aliona mawazo ya sokoine hayafai? Unaweza kufafanua hili?
7. Mwalimu alisema mwaka 1980 ndio angeachia hatamu lakini baada ya vita ya Uganda aliendelea kwa miaka mingine 5 ya mwisho, sasa ni wapi ambapo mwalimu aliona ameshindwa awaachie wengine? Siye huyu mwalimu aliyeweka mpango wa kikomo kwa viongozi?
This is why I said you better check your facts before; The government never owned ujamaa farms or villages.
There was no forced labour to anybody you better check your facts and differentiate with fiction.
Dua,
sokoine had his pet-project called nguvu-kazi. the motive was extremely good--" kila mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi afanye kazi," but the implimentation was equally WRONG.
sokoine alikuwa akikamata watu wasiokuwa na vitambulisho vya kazi mjini DSM na kuwaswaga kwenda vijiji vya gezaulole, mwananyiratu, na kibugumo. sokoine thought that was the solution to the rising un-employment rate at that time.
i think it was very myopic for sokoine to assume that every un-employed person can be turned into a farmer. i also believe that gezaulole,kibugumo etc, were some kind of gulags? now, what other facts do you want?
Unajua Abedi karime hakusoma lakini sijui aliliona vip hili ndio maana akamwambia Nyerere uwa hilo azimio lenu liiishie huko huko chumbe
Unajua ilikuwa katika vijiji hivyo ulikuwa huruhusiwi kutoka mpaka mjumbe apeleke ombi lako kwa DC,then inaenda kwa RC then huko ndiko kutaamuliwa
kama mheshimiwa DUA anaweza kwenda kumtembelea MZEE ES na huko nako mzee ES inabidi aeleze huyo DUA na DR WHO wanamhusu vipi
this was really dark ages in our history
Dua,
naona maswali yao umeyatoa kwa hamaki, na hivyo basi hakuna haja ya mimi kuyajibu moja baada ya jingine. pamoja na hayo, jinsi tunavyoendelea kuzungumza taratibu maswali yako yatapata majibu.
DrWHO
Azimio la Arusha was the best thing to happen in Tanzania even mwalimu was asked and he said I wont change a single world out of it its true even today we have all this problems of Edward-Richmonduli. The West have their own azimio la Arusha for your information but they call it by other name.
The policies were as above no any leader should use his influence to enrich himself or his friends.
Vijiji vya ujamaa were not GULAGS as you think.
Specify the dark days as I dont remember one.
I cant admit something which you fabricate.
Your last question answered above.
DrWHO
Nafikiri ni Zanzibar pekee ndio mlikuwa mnaomba ruhusa kwa DC na RC's kwenda sehemu nyingine sio Bara. Jaribu kuuliza wana bodi mimi sikuliona hilo. Kwa hiyo hizo ndio zilikuwa dark ages zenu kule visiwani.