Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

Ni kweli mimi sina uwezo huo. Nasijasema nina uwezo huo.
Ninahakika CHUKI zina uwezo huo ndio maana kwa upendo wangu ..NAKUONYA ...ukome kueneza CHUKI kwenye jamii vinginevyo hakika chuki itakujengea maradhi ..ambayo yatakutesa .. na utajuta. Nasema tena usinibishie.

Chuki yangu niliyoienenza ni ipi? anza...

Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
 
Point No. 5, umedai Nyerere alisingiziwa kuwa mtanzani wa kwaza kupata Masters degree wakati akina Kibasila, Sewa na Mhimbili walikuwa na PhD tayari . Swali langu lilikuwa hao watu walikuwa na PhD gani? Sijahoji mtu kuitwa Dr bila PhD. Huyo Manyaunyau nishakwambia simjui labda tumzungumzie Prof. Maji Marefu!!

Hapana sikusema hivyo, kanisome tena halafu fanya editing.
 
Nyerere hakuwahi kuwa Daktari na wala hajajiwahi kujitangaza hivyo, bali alikuwa akijitangaza siku zote kama "Mwalimu" The closes ni kuwa diploma yake ya ualimu ilikuwa katika Biology na History, na alifundisha Biology kule St Marys kabla hajaenda kusomea hiyo Masters ya Economics na History huko Scotland.

Huo ni ukweli usiopingika.

Naomba sasa soma point namba 4 uje kuijibu.
 
norrow minded guy!! yoote pumba...Mtei alikua BOT wakati nyerere anang'atuka??? tabu ya thinkers waisojua kuanalyise mambo kabla ya kupost.

kwi kwi kwi teh teh teh.

I do not agree with you, Nyerere was not a "narrow" minded "guy".

Mtei ndiye aliyeelezea kuhusu Benki Kuu kuunguwa. Unalijuwa hilo?
 
Chuki yangu niliyoienenza ni ipi? anza...

Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Kwa majibu yako haya yasiyo ya kistaarabu ni kipofu tu hataona giza uasi wa ubinadamu linaloendesha na kusukuma maisha yako. Umechafuka .... ! Huujui upendo wala ustaarabu. . Vimemezwa na nini kama sio chukiiiiiiii yenye uwezo wa brain tumor. ? Ni upendo na uugwana wangu kukuonya ... wachana na uharibifu wa heshma za watu kwenye jamii vingine usinibishie. .. hakika utaugua faiza .. na utasaga mano .. hakuna cha india wala ulaya kutibu saratani yako ... ni kutubu na kuheshimu .. Nasema tena usinibishie. ..
 
Kati ya watu "popular" wa JF; tofauti na "popular" wengine, yeye katengeneza "popularity" kwa ujengaji hoja "in a meany way". This is so meany...
 
Siwezi kulinganisha Kichuguu na Mlima lakini nnaweza kutenganisha kama ifuatavyo:

Miaka 27 ya Nyerere wanafunzi walioingia chuo kikuu Tanzania hawazidi laki moja.

Miaka tisa ya Kikwete wanafunzi wanaoigia vyuo vikuu Tanzania ni zaidi ya laki tano kwa mwaka.

Beat that if you can.
Mahesabu mengine ni ya kitoto sana.

(a) Wakati wa Nyerere Tanzania ilikuwa na watu milioni 20-plus wakati wa Kikwete Tanzania ina watu milioni 40-plus. Hata Marekani wakati wa Nyerere Dow iliwakua chini ya 500 wakati leo hii inazidi 17,000.
(b) Wakati wa Nyerere hakukuwa na waalimu wa kufundisha vyuo vikuu ilibidi awaandae mwenyewe, wakati wa Kikwete alikuta waalimu wengi wa vyuo wakina Mukandala wakiwa tayari walishaandaliwa na Nyerere. Hata Kikwete mwenyewe aliandaliwa na mfumo wa Nyerere.

Kwa nini ulinganishe Nyerere na Kikwete badala ya kumlinganisha Kikwete na wenzake waliopo madarakani leo leo akina Kagame na Kenyatta. Au kwa nini usimlinganishe Nyerere na wale waliokuwapo madarakani wakati wake akina Amini, Habyarimana, Kayibanda na Mzee Kenyatta ?
 
Unaonekana umehadithiwa na mtu asie ijua tangangika/ tanzania.ninani kakuambia jkn alikuta nchi haina wasomi mm baba yangu mkubwa kasoma makerere na jkn na mze Abdallah fundikira na aliwahi kuniambia wakati wako makerere walikuwa wtz zaidi 150 sasa kama makerere tu walikuwa 150 vyuo vingine ktk dunia hii walikuwa wangapi?
Na ukumbuke hutuba ya mzee mwinyi aliohutubia daimond na wazee wa mkoa wa dsm alipo sema amekabidhiwa nchi haina akiba ya chochote kile haina akiba ya chakula, mafuta ya magari, pesa benk kuu hakuna ,madawa hakuna nk. Hili amelitamka mzee mwinyi wakati wa uhai wa jkn hajafa na jkn hakukanusha.
Sasa ikulu hiyo yenye mayai na benz zisizo na mafuta zinasaidia nini?
Mm naamini zaidi uchumi wa nchi hii umeanzia kuwa mzuri wakati wa uwongozo wa 1985 huko nyuma hatukuwa na mikakati ya kuisaidia nchi hii zaidi tulielekrza nguvu zetu ktk siasa na ukombozi wa afrika bila kujali wtz wana kula nini.

weka hivyo vyet vya baba yako na huyo fundikila hapa km wamesoma

mwaka 1958 kwny uchaguz wa TANU kilichowafany sykes,tambaza,fundikila kukaa pemben na kumuach mwlm jkn walikuwa hawana xhule kichwan
 
Anasingiziwa na nani? Kikwete naye siku hizi ni daktari. Je, naye anasingiziwa?



Ushahidi kwamba alishindwa masomo ya sayansi uko wapi? Na kwani wote waitwao madaktari wamesomea masomo ya sayansi? Kikwete naye kasomea masomo ya sayansi?



Sasa kama BOT iliwaka moto na hakuna senti moja iliyobakia, kwa nini unauliza nani alichukuwa? Nani alichukuwa nini kama hakuna senti moja iliyobakia?



Hata mantiki nyepesi tu zinakushinda! Unasema BOT iliwaka moto mpaka kuteketeza kila kitu halafu kwa wakati huo huo unadokeza kwamba huenda Nyerere aliiba. Nyerere ataibaje vitu vyote vilivyoteketezwa na moto? Aliiba majivu?
NN Katika Ubora wake.
 
weka hivyo vyet vya baba yako na huyo fundikila hapa km wamesoma

mwaka 1958 kwny uchaguz wa TANU kilichowafany sykes,tambaza,fundikila kukaa pemben na kumuach mwlm jkn walikuwa hawana xhule kichwan

Kama unasema mzee fundikira hana elimu basi ww sio mtu sahihi wakujadiliana na mm ktk mjadala huu.
 
Siwezi kulinganisha Kichuguu na Mlima lakini nnaweza kutenganisha kama ifuatavyo:

Miaka 27 ya Nyerere wanafunzi walioingia chuo kikuu Tanzania hawazidi laki moja.

Miaka tisa ya Kikwete wanafunzi wanaoigia vyuo vikuu Tanzania ni zaidi ya laki tano kwa mwaka.

Beat that if you can.


Huku ndiko wapambe nuksi!

Kufanya mlinganyo wa aina hiyo nikumdhalisha unayedhani unampamba.
Kazi ya kupamba si mchezo eti.

Naomba kama unampenda Mhe.Raisi basi baki kwenye njia Kuu-yaani usichepuke mpaka kwenye vitu ninavyoshusha hadhi.
Kubwa hasa kumlinganisha Kambarage na Kikwete utasubiri sana hasa eneo la utendaji na nini kila Mmoja amefanikisha katika Utawala wake.


 
Ukiangalia historia ya awali kutokea TAA na baadae TANU inaonesha Mwl.Nyerere alikuwa na kipaji cha hali ya juu yaani wapigane wengine yeye apewe tu Urais.

Umeme wa Maji ulijengwa na MWINYI? labda hii IPTL maana ilianza miaka ya 1994
 
Unaonekana umehadithiwa na mtu asie ijua tangangika/ tanzania.ninani kakuambia jkn alikuta nchi haina wasomi mm baba yangu mkubwa kasoma makerere na jkn na mze Abdallah fundikira na aliwahi kuniambia wakati wako makerere walikuwa wtz zaidi 150 sasa kama makerere tu walikuwa 150 vyuo vingine ktk dunia hii walikuwa wangapi?
Na ukumbuke hutuba ya mzee mwinyi aliohutubia daimond na wazee wa mkoa wa dsm alipo sema amekabidhiwa nchi haina akiba ya chochote kile haina akiba ya chakula, mafuta ya magari, pesa benk kuu hakuna ,madawa hakuna nk. Hili amelitamka mzee mwinyi wakati wa uhai wa jkn hajafa na jkn hakukanusha.
Sasa ikulu hiyo yenye mayai na benz zisizo na mafuta zinasaidia nini?
Mm naamini zaidi uchumi wa nchi hii umeanzia kuwa mzuri wakati wa uwongozo wa 1985 huko nyuma hatukuwa na mikakati ya kuisaidia nchi hii zaidi tulielekrza nguvu zetu ktk siasa na ukombozi wa afrika bila kujali wtz wana kula nini.

wewe inaonekana hufahamu historia kabisa sio tu ya Tanzania bali Afrika nzima.

Jifunze kuhusiana na mikakati ya serikali ya Nyerere kujenga nchi(building a nation). Nyerere kafanikiwa katika hilo kuliko Maraisi wengi Afrika ndio maana leo angalau tunazungumza pasipo kuingiza ukabila udini wala ukanda.

Usipayuke payuke bila kufikiria.
 
Back
Top Bottom