Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

Mahesabu mengine ni ya kitoto sana.

(a) Wakati wa Nyerere Tanzania ilikuwa na watu milioni 20-plus wakati wa Kikwete Tanzania ina watu milioni 40-plus. Hata Marekani wakati wa Nyerere Dow iliwakua chini ya 500 wakati leo hii inazidi 17,000.
(b) Wakati wa Nyerere hakukuwa na waalimu wa kufundisha vyuo vikuu ilibidi awaandae mwenyewe, wakati wa Kikwete alikuta waalimu wengi wa vyuo wakina Mukandala wakiwa tayari walishaandaliwa na Nyerere. Hata Kikwete mwenyewe aliandaliwa na mfumo wa Nyerere.

Kwa nini ulinganishe Nyerere na Kikwete badala ya kumlinganisha Kikwete na wenzake waliopo madarakani leo leo akina Kagame na Kenyatta. Au kwa nini usimlinganishe Nyerere na wale waliokuwapo madarakani wakati wake akina Amini, Habyarimana, Kayibanda na Mzee Kenyatta ?
Unamuuliza kwa nini, kwani hujui huyo ana ugonjwa wa kansa ya UDINI:A S-rap:
 
eti FaizaFoxy, Hivi Unguja imemezwa na Pemba? Sijasikia hili jina kitambo sana. Nasikia tu Pemba na Zanzibar. Au ndio yale ya Tanzania na Zanzibari?
 
Last edited by a moderator:
Vita gani alivyopigana kudai Uhuru kama "Kapigania Uhuru"? yaani una ubongo mfupi kma maisha ya funza kupigania sio kupigana unawaza mapigano yenu ya kujilipua mabomu ya kujitoa muhanga???!!huo mstari mwekundu umedhirisha ukilza na ukanjanja wako
 
Nyerere anasingiziwa kuwa ni Daktari.
hahahahha vip jakaya kuwa professor?anasingiziwa au kapiga PHD?
 
Mahesabu mengine ni ya kitoto sana.

(a) Wakati wa Nyerere Tanzania ilikuwa na watu milioni 20-plus wakati wa Kikwete Tanzania ina watu milioni 40-plus. Hata Marekani wakati wa Nyerere Dow iliwakua chini ya 500 wakati leo hii inazidi 17,000.
(b) Wakati wa Nyerere hakukuwa na waalimu wa kufundisha vyuo vikuu ilibidi awaandae mwenyewe, wakati wa Kikwete alikuta waalimu wengi wa vyuo wakina Mukandala wakiwa tayari walishaandaliwa na Nyerere. Hata Kikwete mwenyewe aliandaliwa na mfumo wa Nyerere.

Kwa nini ulinganishe Nyerere na Kikwete badala ya kumlinganisha Kikwete na wenzake waliopo madarakani leo leo akina Kagame na Kenyatta. Au kwa nini usimlinganishe Nyerere na wale waliokuwapo madarakani wakati wake akina Amini, Habyarimana, Kayibanda na Mzee Kenyatta ?

mkuu hyo faiza kitanda chake kipo empy milembe tafadhali usibishane na mgonjwa wa akili
 
Huku ndiko wapambe nuksi!

Kufanya mlinganyo wa aina hiyo nikumdhalisha unayedhani unampamba.
Kazi ya kupamba si mchezo eti.

Naomba kama unampenda Mhe.Raisi basi baki kwenye njia Kuu-yaani usichepuke mpaka kwenye vitu ninavyoshusha hadhi.
Kubwa hasa kumlinganisha Kambarage na Kikwete utasubiri sana hasa eneo la utendaji na nini kila Mmoja amefanikisha katika Utawala wake.


n
NIMESHA MSOMA NA vipimo vinaonyesha mleta mada anasumbuliwa na ugonjwa hatari sana unaoitwa kansa ya Udini, Dhima kuu la mada ni kujaribu kushawishi kuwa raisi wa dini yake kama hao anaowatetea WANAWEZA SANA KWA SABABU YA DINI HIYO kuliko raisi wa dini ya huyo msingiziwa, kwanini asitaje Mkapa, yeye ni Mwinyi na Kikwete:A S-rap:
 
Mahesabu mengine ni ya kitoto sana.

(a) Wakati wa Nyerere Tanzania ilikuwa na watu milioni 20-plus wakati wa Kikwete Tanzania ina watu milioni 40-plus. Hata Marekani wakati wa Nyerere Dow iliwakua chini ya 500 wakati leo hii inazidi 17,000.
(b) Wakati wa Nyerere hakukuwa na waalimu wa kufundisha vyuo vikuu ilibidi awaandae mwenyewe, wakati wa Kikwete alikuta waalimu wengi wa vyuo wakina Mukandala wakiwa tayari walishaandaliwa na Nyerere. Hata Kikwete mwenyewe aliandaliwa na mfumo wa Nyerere.

Kwa nini ulinganishe Nyerere na Kikwete badala ya kumlinganisha Kikwete na wenzake waliopo madarakani leo leo akina Kagame na Kenyatta. Au kwa nini usimlinganishe Nyerere na wale waliokuwapo madarakani wakati wake akina Amini, Habyarimana, Kayibanda na Mzee Kenyatta ?

hahahahahah analysis zake ni zile za ki madrasat yaani elimu al madrasat ndio anatoa analysis ya ku compare mwaka 1800 na 2000 ni chizi tu au taira anaweza kufanya hivo
 
Faiza ana mihemko yenye harufu ya udini, ni wana dini fulani tu wanaoamini hayo ayasemayo huyu kahaba
 
Safari ya pili ya mwl umoja wa mataifa na Mareale nayo isiache kuongelewa hapa. Alijisingizia mengi sana. Ukweli mtamu ila unauma.

Pia ya kfanywa makatifu isikoseka humu.
 
Hivi mtu unapata faida gani kumsimanga marehemu....mtu ambaye hakusikii wala hakuoni...mtu ambaye hataguswa na maneno yako kamwe....kuendelea kumjadili au kumsimanga marehemu...ambaye ni mwanadamu kama sisi...ni kuupoteza muda ambao ungetufanya turekebishe pale ambapo tunahisi alikosea kama mwanadamu na kuyaenzi yale mazuri aliyotuachia....



wafuasi wa osama ndio walivyo
 
uzi una point chache vingine mipasho na kejeli tuu!,

Naamini sheria ya makosa ya mtandao ina-cover mambo kama haya pia
 
Vita gani alivyopigana kudai Uhuru kama "Kapigania Uhuru"? yaani una ubongo mfupi kma maisha ya funza kupigania sio kupigana unawaza mapigano yenu ya kujilipua mabomu ya kujitoa muhanga???!!huo mstari mwekundu umedhirisha ukilza na ukanjanja wako

Maumau Wakenya walipigania Uhuru Kenya 1952 - 1960

Majimaji Watanganyika walipigania kuukataa utawala wa Wajerumani 1905 - 1907
 
wewe inaonekana hufahamu historia kabisa sio tu ya Tanzania bali Afrika nzima.

Jifunze kuhusiana na mikakati ya serikali ya Nyerere kujenga nchi(building a nation). Nyerere kafanikiwa katika hilo kuliko Maraisi wengi Afrika ndio maana leo angalau tunazungumza pasipo kuingiza ukabila udini wala ukanda.

Usipayuke payuke bila kufikiria.

Makogo; umetoka wp mbona umerukia mjadala wala hujui wp umeanzia hebu rudi nyuma usome mjadala usirukie post 1 tu utakuwa hujui maana .
Mm sielewi hata ulicho andika nimeona umeandika tu labda kwa kuwa unajua kuandika.
 
FaizaFoxy,

1. Hivi wanawake wanaopigania haki zao huwa wameshika Bunduki?
 
Huku ndiko wapambe nuksi!

Kufanya mlinganyo wa aina hiyo nikumdhalisha unayedhani unampamba.
Kazi ya kupamba si mchezo eti.

Naomba kama unampenda Mhe.Raisi basi baki kwenye njia Kuu-yaani usichepuke mpaka kwenye vitu ninavyoshusha hadhi.
Kubwa hasa kumlinganisha Kambarage na Kikwete utasubiri sana hasa eneo la utendaji na nini kila Mmoja amefanikisha katika Utawala wake.



Wengi wanamsifia nyerere aidha wanasikia hotuba zake hizi baada ya kuwa yupo benchi , alikua hodari na mjuzi wa kukosoa ,
Wengi hawakuona utawala wake kwa macho. Hawakusikia miaka ile kuwa hotuba zake zilikua za vitisho tu.
kuna wakati Sadam alimhukumu mawaziri wake kwenye mkutano wa hadhara na wale wakapotezwa , ni ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu kufanywa nabSadam Hussein.MKosaji akikosa mpeleke mahakamani hata kama mahakama ina walakini lakini unafat sheria za nchi.
Nyerere huyu huyu 1968 pale mnazi mmoja mbele ya mkutano wa hadhara aliwakamata balozi wa TAnzania marekani OThman Sharif na MAkamo wa rais wa ZAnzibar akawaleta pale mnazi mmoja wakiwa na pingu, akawahukumu pale , yeye akawa mahakama akawa shahidi na mwendesha mashataka. Akawatoa na kuwambia mnakwenda Zanzibar mukamalizwe.
Hawakuonekana tena hata makaburi yao.
Tukimzungumza hatufanyi udini, lakini wanaomtetea bila shaka ni wakristo kwa sababu walifaidi na aliwapendelea mnoo akawajaza kila mahala.

Kuna mmoja alisema NYerere aliondoa ukabila , hata siku moja , alichoondoa ni mishahara ya machifu , ila machifu walikuwepo m
Na mpaka leo wapo.
Wakati ule ukienda NIC BIma utafhani upo MBeya , wanyachusa watupu , hivo hivo NBC , atc, THB, TRA ,kila sehemu mkuu akiwa kabila fulani basi timu nzima kutoka nyumbani. Haya yalifanyika akiyajua na hakuyakemea hata siku moja , thn tunakuja hapa kudsnganyana.
Aliyofanya iddi amni ya kunyanganya watu na yeye alifanya na pia alikuja na africanazation ikawatoa wote wasio waafrika na waislam serikalini.
Siddhani kama alikua anaambilika kitu , hakua anasikiliza mawazo ya wengine ndio maana kina kambona , bibi titi. Fundikira , kasela bantu aliwatia ndani kwani hakupenda kukosolews.

Tunafahamu namana tulivo kuwa tunapanga foleni za chakula na petrol kwa card ya ration ,
Tunakumbuka nguo sote tunavaaa sare
Haya yote faiza anamzingizia !!!
 
Wengi wanamsifia nyerere aidha wanasikia hotuba zake hizi baada ya kuwa yupo benchi , alikua hodari na mjuzi wa kukosoa ,
Wengi hawakuona utawala wake kwa macho. Hawakusikia miaka ile kuwa hotuba zake zilikua za vitisho tu.
kuna wakati Sadam alimhukumu mawaziri wake kwenye mkutano wa hadhara na wale wakapotezwa , ni ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu kufanywa nabSadam Hussein.MKosaji akikosa mpeleke mahakamani hata kama mahakama ina walakini lakini unafat sheria za nchi.
Nyerere huyu huyu 1968 pale mnazi mmoja mbele ya mkutano wa hadhara aliwakamata balozi wa TAnzania marekani OThman Sharif na MAkamo wa rais wa ZAnzibar akawaleta pale mnazi mmoja wakiwa na pingu, akawahukumu pale , yeye akawa mahakama akawa shahidi na mwendesha mashataka. Akawatoa na kuwambia mnakwenda Zanzibar mukamalizwe.
Hawakuonekana tena hata makaburi yao.
Tukimzungumza hatufanyi udini, lakini wanaomtetea bila shaka ni wakristo kwa sababu walifaidi na aliwapendelea mnoo akawajaza kila mahala.

Kuna mmoja alisema NYerere aliondoa ukabila , hata siku moja , alichoondoa ni mishahara ya machifu , ila machifu walikuwepo m
Na mpaka leo wapo.
Wakati ule ukienda NIC BIma utafhani upo MBeya , wanyachusa watupu , hivo hivo NBC , atc, THB, TRA ,kila sehemu mkuu akiwa kabila fulani basi timu nzima kutoka nyumbani. Haya yalifanyika akiyajua na hakuyakemea hata siku moja , thn tunakuja hapa kudsnganyana.
Aliyofanya iddi amni ya kunyanganya watu na yeye alifanya na pia alikuja na africanazation ikawatoa wote wasio waafrika na waislam serikalini.
Siddhani kama alikua anaambilika kitu , hakua anasikiliza mawazo ya wengine ndio maana kina kambona , bibi titi. Fundikira , kasela bantu aliwatia ndani kwani hakupenda kukosolews.

Tunafahamu namana tulivo kuwa tunapanga foleni za chakula na petrol kwa card ya ration ,
Tunakumbuka nguo sote tunavaaa sare
Haya yote faiza anamzingizia !!!
na ni mahakama gani ilomhukumu Sheikh Kassim bin Jumaa au leo hii Sheikh Ponda?
 
Chuki chuki chuki till death.
Mwalimu Nyerere atabaki kuwa legend wetu, atabaki kuwa kipenzi chetu, historia imeandikwa hata utembee uchi kila mlango wa Nyumba kueneza chuki uwezi tena maana historia imendikwa kwa electronic ink.

Ni upumbavu uliokithiri kuangaika na Marehemu, Nyerere alifanya aliyoweza, wewe jiulize umeifanyia nini nchi hii zaidi ya kukaa siku nzima JF bila kazi na kueneza chuki?, anyway, an idle mind is the house of devil, ufanyi kazi, unatia umasikini nchi hii, kwa miaka kadhaa sasa umekuwa ukishinda kwenye Jamii Forum without producing

Ili tutoke hapa tulipo yatupasa tujifunze na lazima tuweze kuacha kuendeshwa na emetions na tuwe objective katika kujadili mada na kutoa majibu ya mada na hata kasoro ya mada tunayofikiri ni upuuzi kabisa. Muoneshe utu upuuzi wake na pia tuwe wavumilivu kujadili hoja ngumu na pengine zenye kutuumiza ili kuonesha ukomavu wetu na pia kuidhalilisha mada tunayodhani inajenga chuki ili wanaoisoma wachambue pumba na mchele ni upi kuliko kukasirika na kudhani kuwa kuzalisha mawazo si kitu bali kitu ni kuzalisha bidhaa inayoshikika. Mawazo ndio chanzo cha kila kitu na mawazo mgongano ndio hasa yenye kuleta mabadiliko ya kifikra, labda tupo hapa tulipo kwa vile watu wote tumekuwa tukifikiri vile vile sawia kila siku, tumpe mwenye kuleta wazo jipya benefit of doubt
 
A wengine walibidi wafiche wabaki na ya majina ya kijadi ambayo hayajulishi , jakaya kikwete

Kigoma malima ,huyu kabla ya uhuru , kidola makani , akaficha abdalla na hakujulikanna mpaka wakati wa kumzika akabahatika kupata unaibu gavana BOT,

Hii system ni mbaya sana ili undwa na mfumo na wale walo faidi lazima wata utetea kwa nguvu watajifanya vipofu.



Kuna kisa kimoja alinihadithia aliwahi kuwa balozi wetu ZImbabwe, huyu ni jamaa kutoka znz , alikua msomi muislam safi hamsa salawati, wakati yupo kule akapelekewa afisa mwambata kuwa nae , basi yule mwambata jina la kiislam kabisa nao wale jamaa wa yule balozi wetu na yeye mwenyewe wana dhani muislam , kumbe ni mkristo ila kabadilishwa jina ili apate kazi , ionekane na waislam nao wamo pia, na pia njia ya kumchunguza balozi kwa vile ni muislam. Wakienda kusali eid naye yumonna kanzu yake ..



Yule jamaa kukaa nao miaka miwili haijafika kuona tabia na bile walivo mtreat vizuri na balozi alivo kuwa msimamo wake kwenye kazi bila ya kuchanganya dini mwishowe aliungama kuwa yeye Sio muislam ila yupo pale kama nilivo eleza , ni mbinu inatumika nchi nzima kulaghai waislam, huyu jamaa hatimae ali silimu .....
 
Makogo; umetoka wp mbona umerukia mjadala wala hujui wp umeanzia hebu rudi nyuma usome mjadala usirukie post 1 tu utakuwa hujui maana .
Mm sielewi hata ulicho andika nimeona umeandika tu labda kwa kuwa unajua kuandika.

kula kona unataka niandike unachotaka kusoma
 
Back
Top Bottom