nijothemaster
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 324
- 56
Wengi wanamsifia nyerere aidha wanasikia hotuba zake hizi baada ya kuwa yupo benchi , alikua hodari na mjuzi wa kukosoa ,
Wengi hawakuona utawala wake kwa macho. Hawakusikia miaka ile kuwa hotuba zake zilikua za vitisho tu.
kuna wakati Sadam alimhukumu mawaziri wake kwenye mkutano wa hadhara na wale wakapotezwa , ni ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu kufanywa nabSadam Hussein.MKosaji akikosa mpeleke mahakamani hata kama mahakama ina walakini lakini unafat sheria za nchi.
Nyerere huyu huyu 1968 pale mnazi mmoja mbele ya mkutano wa hadhara aliwakamata balozi wa TAnzania marekani OThman Sharif na MAkamo wa rais wa ZAnzibar akawaleta pale mnazi mmoja wakiwa na pingu, akawahukumu pale , yeye akawa mahakama akawa shahidi na mwendesha mashataka. Akawatoa na kuwambia mnakwenda Zanzibar mukamalizwe.
Hawakuonekana tena hata makaburi yao.
Tukimzungumza hatufanyi udini, lakini wanaomtetea bila shaka ni wakristo kwa sababu walifaidi na aliwapendelea mnoo akawajaza kila mahala.
Kuna mmoja alisema NYerere aliondoa ukabila , hata siku moja , alichoondoa ni mishahara ya machifu , ila machifu walikuwepo m
Na mpaka leo wapo.
Wakati ule ukienda NIC BIma utafhani upo MBeya , wanyachusa watupu , hivo hivo NBC , atc, THB, TRA ,kila sehemu mkuu akiwa kabila fulani basi timu nzima kutoka nyumbani. Haya yalifanyika akiyajua na hakuyakemea hata siku moja , thn tunakuja hapa kudsnganyana.
Aliyofanya iddi amni ya kunyanganya watu na yeye alifanya na pia alikuja na africanazation ikawatoa wote wasio waafrika na waislam serikalini.
Siddhani kama alikua anaambilika kitu , hakua anasikiliza mawazo ya wengine ndio maana kina kambona , bibi titi. Fundikira , kasela bantu aliwatia ndani kwani hakupenda kukosolews.
Tunafahamu namana tulivo kuwa tunapanga foleni za chakula na petrol kwa card ya ration ,
Tunakumbuka nguo sote tunavaaa sare
Haya yote faiza anamzingizia !!!
alifanya kazi kubwa sana kuongoza watu wasiokua na elimu....unatakiwa ujue hilo kwanza sio unataka tu leo ndo iwe kama jana.....alitufunza wote tukanyooka kwenye maadili.....UDINI nimezaliwa hakuna UKABILA nimezaliwa hakuna....ila nauona unarudi kwasababu Nyerere hayupo.......THERE IS NO DEMOCRACY WITHOUT DICTATORSHIP....