Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,233
Anatoa mfano wa kuchinjana?
Na kwanini alihimiza kila mfuasi wake anunue PANGA?
LUKA 22:36
."....naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-
HUO Upanga Ulikuwa ni wanini?
Au utasema wa kuchinjia mbuzi katoliki?
Utapeli wenu hauna Uhai tena.
Bibilia tunaijua kuliko mnavyodhani.
Wewe ufahamu Biblia na wala hutafahamu Biblia, Biblia inasomwa kwa connections, kuna verse za agano jipya zinakamilishwa na agano la kale au verse inayofuata. Kama kweli unadhani LUKA 22:36 alimaanisha kuua watu ebu soma Luke 22:49-51, uone kama kweli Hizo Panga mbili zina maana gani na nini kilitokea.
Hilo agizo la Upanga lilikuwa ni fumbo kwa hao wanafunzi, kwanza mida ya Yesu kuondoka duniani ulikuwa umefika, maana ilikuwa katika harakati za kuagana. Alitaka kuwafahamisha kuwa sasa wakati mgumu kwa Wanafunzi wake umefika, wawe Imara kwa ugumu watakao ukuta, na ndio maana walipomuonesha hayo mapanga akasema Yatosha, hakumaanisha walivyo elewa wao. Haya mambo ni Magumu kuyaelewa ukiwa bado unaamini Mapepo/Majini ni Malaika wa Mungu