Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

unataka kweli Mzee Edwin Mtei akujibu naye kakuona kinyago cha mpapule.

Mtoto wa kiume na maneno ya mipasho haipendezi.
Mnaporomosha maadili ya jamii kwa kuiga wanawake.
Hebu kakamaa kidogo we mbwega usije konyezwa na Kakende ukarusha ngumi.
 
Last edited by a moderator:
Nashawishika kukuhesabu faizyfoxy kwenye orodha ya taahira hapa JF, kila unachosema kinakuwa sio na bado unajaribu kkubahatisha, maisha kubahatisha bahatisha sio, wenzako wakiandika hapa wanakuwa na full story ya mambo. Nikukumbushe tena, ulisema CHADEMA haiwezi kumfukuza ZZK, yuko wapi leo??? samahani nikikuita taahira ninasababu lukuki
Nachelea kuelewa elimu ya huyu Dada,hana data wala hafanyi utafiti,mada zake nyinyi hazina mashiko ila tunachangia tu ili kuweka saw a upotoshaji
 
Hakuna mjadala katika hilo, Nyerere ni kipenzi cha wengi, mimi ni mmoja wa waliompenda Nyerere. Lakini mapenzi yetu yasitutie upofu mpaka "tukamsingizia" vitu ambavyo si vyake.

Sasa unaposema Nyerere anasingiziwa kuwa ni kipenzi cha Watanganyika na Watanzania unamaana gani?!
 
FaizaFoxy

Maajabu, unawezaje kumchukia Hayati Mwl Nyerere harafu ukaipenda CCM?

Faiza
Nina wasiwasi na reasoning yako.
Hata hivyo naweza kuungana na wasemaji wa mwanzo kwamba unacho jaribu kufanya ni kuhamisha mawazo zidi ya mafisadi waliotufikisha hapa na tuelekeze kwenye mjadala usio na tija.
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy angetumia muda anaotumia kumfuatilia Nyerere kuichunguza dini ya Kiislamu. Angegundua kuwa marehemu mwalimu alikuwa msafi kuliko hayati Muhammad

Usafi wake ni ule wa kuwapa nyie wakatoliki kipaumbele kuliko imani zote?
Au usafi wake ni Kule kudhulumu mali za wananchi wasio na hatia?
Au usafi wake ni Ile tabia ya kufunga raia Jela bila kupitia Mahakamani? Na wakati mwingine kuwapoteza kabisa wale asiowapenda?
Au Usafi wake ni pale alipovunha nyumba za wazee wetu na Kuwalazimisha wakaishi porini eti vijiji vya Ujamaa matokeo yake Raia wengi Kuuawa na wanyama pori?

Nyie vikojozi mliozaliwa miaka ya juzi Nini mnakijua Kuhusu Balaa wa Taifa Nyerere?
Kifo chake Kimekuwa Ni nafuu kubwa sana kwa wananchi wengi.
Na mali nyingi alizo dhulumu watu Rais Mwinyi kwa Uungwana Wake akaamua Kuwarudushia wenyewe.
Huo ndio UUNGWANA na USAFI.
Sio Kuchonga meno tu ka nguchiro.
 
Mara nyingi tu wanabagua bila pesa unakufa nenda Bugando bila pesa kama ujafia mapokezi bei zao hamna tofauti na private kama TMJ au Aghakan wakati Bugando wanapokea ruzuku serikalini.


Sijui isije kuwa hadithi za vijiweni! Ni vizuri wakati tunatuhumu kwa jambo muhimu kama huduma ya matibabu tukaweka akiba pale tunapokuwa hatuna taarifa halisi.

Ila rekebisha ''Bila pesa unakufa'' ni wazi kuwa hakuna Tanzania hii au Dunia hii kuna huduma ya Bure.Nyerere sera yake ya Ujamaa mnayemkandia kila kukicha alijaribu akashindwa kutoa huduma ya Bure.

Nadhani kama kweli wanapata Ruzuku ya Serikali basi vizuri walalamikaji kama ninyi mkafanya utafiti au kuidai Serikali kuweka wazi Eneo lipi wanawapa Ruzuku hayo mahospitali na nini matokeo faida kwa Wananchi kwa maana ya nafuu ya Gharama .

 
Yote uliyoandika ni sawa wala sina pingamizi kasoro hilo moja la "kusingiziwa".

Unaweza kabisa kusingiziwa jema kwa kuwa tu kuna malengo fulani. Jee, utakatifu si mojawapo la "kusingiziwa mema"? Fikiri.

Sasa hivi kuna miujiza inatafutwa kwa nguvu ili kuipata dhanna kamili ya utakatifu (Sainthood) kwa utaratibu wa Kanisa Katoliki, sijuwi ni mingapi iliyopatikana mpaka sasa.

Naomba msome Ludovick Mwijage, hapa hapa JF: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mwijage-the-dark-side-of-nyereres-legacy.html

Ndugu yangu,Imani ya watu wengine hutaiweza.Nyerere anatakiwa awe Mtakatifu kwa Misingi ya Kikristo na sio Kiislamu.Ni sawa na Mtume Mohamad anaheshimiwa sana na Waislamu lakini kwa Wakristo hana hadhi yoyote zaidi ya kumwona sawa na mwana Mpotevu.Kwa hiyo vigezo vya Wakristo na waislamu katika kuufikia Utakatifu ni Tofauti sana.
 
mama hizi chuki zako za dini zitnakupeleka pabaya,viwanda,mwatex,urafiki,bora nk,vilikuwepo hata kabla ya mwinyi ajawa raisi,sasa kina mwinyi gani hao unaowazungumzia kwamba ndio waliojenga viwanda,mwinyi kaingia ikulu 1985,kavikuta viwanda

Bora ilikua Bata akaitaifisha tu.
Hivyo mwatex na urafiki ni msaada wa kukubali kuwa mkomunisti ni technologia ya kichina ilokua ya chini kabisa inayokula umeme na labour kuwa kubwa kulikua hakuna faida yoyote.
 
Usafi wake ni ule wa kuwapa nyie wakatoliki kipaumbele kuliko imani zote?
Au usafi wake ni Kule kudhulumu mali za wananchi wasio na hatia?
Au usafi wake ni Ile tabia ya kufunga raia Jela bila kupitia Mahakamani? Na wakati mwingine kuwapoteza kabisa wale asiowapenda?
Au Usafi wake ni pale alipovunha nyumba za wazee wetu na Kuwalazimisha wakaishi porini eti vijiji vya Ujamaa matokeo yake Raia wengi Kuuawa na wanyama pori?

Nyie vikojozi mliozaliwa miaka ya juzi Nini mnakijua Kuhusu Balaa wa Taifa Nyerere?
Kifo chake Kimekuwa Ni nafuu kubwa sana kwa wananchi wengi.
Na mali nyingi alizo dhulumu watu Rais Mwinyi kwa Uungwana Wake akaamua Kuwarudushia wenyewe.
Huo ndio UUNGWANA na USAFI.
Sio Kuchonga meno tu ka nguchiro.

Usiseme Wakatoliki sema wakristo.Wote wanaotumia Biblia wanamaono yanayokaribiana sana ndio maana wote kwa Umoja wao waliikataa MAHAKAMA YA KADHI.
 
Nchi hii imeharibiwa na Mwinyi na mwenzake Mkwere

We mwenye jina km sehemu za siri Bila mzee Ruksa Mwinyi we ungekuwa hapo ulipo?
Kabla Ya Mzee Ruksa Ukiona Mt wa kawaida Anakula Mbuzi Ujue Kafa mtu mkubwa Au Harusi Ya Kiongozi wa Serikali.
Toka Mzee Ruksa Kakamata Nchi neema Zimefunguka kwa wananchi wengi sana.
Yule Mchonga meno aliweka Sheria Eti Ukitaka Kinunua Gari Nje lzm uwe na Kibali Kutoka Serikalini matokeo yake binamu zake Washashi na Wakurwa ndio waliokuwa wanapewa vibali.

Neema za Mzee Ruksa ziko wazi mpaka watoto km kina Nyakageni wameweza kuvaa Chupi za vitambaa vya Hariri lainii na rangi za kucha.

Enzi ya nyerere ukikamatwa inanukia perfume unawekwa ndani eti Muhujumu.

Matatizo wengi wenu wakati huo bado mnavishwa zile Nepi za JKT!
Ngumu km bati.
 
Last edited by a moderator:
Usiseme Wakatoliki sema wakristo.Wote wanaotumia Biblia wanamaono yanayokaribiana sana ndio maana wote kwa Umoja wao waliikataa MAHAKAMA YA KADHI.

Wacha Unafiki we mtoto.
Hakuna Asiejua kuwa WAKATOLIKI ni watu waliopendelewa na kupewa kipaumbele sana na Nyerere.
Na ndio maana juu ya Mateso na dhulma alizowafanyia wananchi miaka ile ya utawala wake bado mmeamua kuipa maiti yake UTAKATIFU.

Ni bora apewe utakatifu Nicholas kwa Kuwaneemesha Wauza Gongo kuliko Nyerere.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kasingiziwa meng sana.
NYERERE anasingiziwa kwamba eti yeye kama Julius Nyerere alipowaona maskini katika nchi yake wamekuwa wengi na vilioa vya njaa kuwa vingi yeye hakulia nao wala kufa njaa nao kama alivyofanya Julius Caesar bali yeye eti aliwaonyesha njia sahihi za kuondokana na umaskini. Jambo hili sio kweli kwani kama kweli amewaonyesha njia hizo za kuondokana na umaskini wasingekufa na njaa mpaka kwa aibu akajiuzulu urais wa taifa hili. Na pia kama amewaonyesha njia hizo basi zilikuwa njia mfu hivyo ataingia ktk orodha ya marais wenye upeo duni kuwah tokea ktk nchi yetu. Hakuna wakati taifa hili limepitia katika hali ngumu navilio ving vya shida kuliko wakati wake Nyerere.

Kama ni kweli amewafundisha njia hizo za kuondokana na umaskini asingeliacha taifa hili nila mwisho ktk orodha ya mataifa maskini duniani.

Asingetangaza eti WATANZANIA wafunge mikanda kwa siku kadhaa kutokana na njaa huku yeye na Bazungu wake wakiendelea kuiba rasilimali za taifa na kuzipeleka VATICAN NA KWA MALKIA ELIZABETH HUKO UK.
 
Na mali nyingi alizo dhulumu watu Rais Mwinyi kwa Uungwana Wake akaamua Kuwarudushia wenyewe.
Huo ndio UUNGWANA na USAFI.
Sio Kuchonga meno tu ka nguchiro.

Duh!
Kwa hiyo alizorudisha Mwinyi kazitoa Butiama kwa Nyerere au Serikalini!
Wapiga Kelele wengi dhidi ya Nyerere ni Mabepari na Mafisadi wa Enzi za Ukoloni.
 
Nadhani huu mjadala ulitosha sana kuishia pale alipojibu Nyani Ngabu, amemaliza kila kitu.
Kilichobaki labda tuanze kubadiki uekekeo wa hii thread, na wahandisi wa hiyo fani tunao humu. Ngoja waje kutusaidia.

nakubaliana na wewe kabisa.

Nasikia Kun Aguero katupia hatrick kwenye game ya Man City vs QPR leo hii.
 
Duh!
Kwa hiyo alizorudisha Mwinyi kazitoa Butiama kwa Nyerere au Serikalini!
Wapiga Kelele wengi dhidi ya Nyerere ni Mabepari na Mafisadi wa Enzi za Ukoloni.

Kuwafundisha watoto mliozaliwa Juzi historia ni kazi kubwa.
We unafahamu Dhulma alioifanya nyerere kwa wananchi?
Unafahamu Idadi ya watu waliopoteza maisha yao Kwa sababu ya Uongozi dhalim wa Nyerere?
Nyerere alitawala nchi hii km ya Baba yake.
Akiamua wewe upotee hakuna wa kumuuliza!
Akiamua Kuchukua Nyumba yako na mali yako Hakuna wa Kumzuia?

Yule alikuwa Beberu Mkuu lkn akidanganya watu kuwa ni Mjamaa!

Alitoa amri wananchi wavunjiwe nyumba zao na kuhamishiwa maporini hali ya kuwa yeye yuko Butiama anakula bata na mkewe maria.
Leo hii wanatokea Watoto wadogo km wewe kutetea msioyajua.

Waulizeni wazee wenu watakwambieni km ni wakweli.
 
Wacha Unafiki we mtoto.
Hakuna Asiejua kuwa WAKATOLIKI ni watu waliopendelewa na kupewa kipaumbele sana na Nyerere.
Na ndio maana juu ya Mateso na dhulma alizowafanyia wananchi miaka ile ya utawala wake bado mmeamua kuipa maiti yake UTAKATIFU.

Ni bora apewe utakatifu Nicholas kwa Kuwaneemesha Wauza Gongo kuliko Nyerere.

Nimekwambia Wakristo wote ni wamoja kwa sababu wanafundishwa UPENDO,KUSAMEHE na KUSAIDIA WENYE MAHITAJI.Wote wanatumia Biblia ambayo Amri kuu yake ni UPENDO.Wakristo wote hawataki Ubaguzi ndio maana wote kwa Umoja wao waliipinga Mahakama ya Kadhi maana ilikuwa ni hatari kwa Umoja na Upendo wa Taifa.Kikwete Mwenyewe huwa anasema Kanisa limemsaidia sana kufika hapo alipo.
 
mama hizi chuki zako za dini zitnakupeleka pabaya,viwanda,mwatex,urafiki,bora nk,vilikuwepo hata kabla ya mwinyi ajawa raisi,sasa kina mwinyi gani hao unaowazungumzia kwamba ndio waliojenga viwanda,mwinyi kaingia ikulu 1985,kavikuta viwanda

Kwa FaizaFoxy, Marais nchi hii ni wawili, Mwinyi na Kikwete. Hivi kuna kiwanda gani kilijengwa wakati wa Mwinyi!!?
 
Last edited by a moderator:
Kuwafundisha watoto mliozaliwa Juzi historia ni kazi kubwa.
We unafahamu Dhulma alioifanya nyerere kwa wananchi?
Unafahamu Idadi ya watu waliopoteza maisha yao Kwa sababu ya Uongozi dhalim wa Nyerere?
Nyerere alitawala nchi hii km ya Baba yake.
Akiamua wewe upotee hakuna wa kumuuliza!
Akiamua Kuchukua Nyumba yako na mali yako Hakuna wa Kumzuia?

Yule alikuwa Beberu Mkuu lkn akidanganya watu kuwa ni Mjamaa!

Alitoa amri wananchi wavunjiwe nyumba zao na kuhamishiwa maporini hali ya kuwa yeye yuko Butiama anakula bata na mkewe maria.
Leo hii wanatokea Watoto wadogo km wewe kutetea msioyajua.

Waulizeni wazee wenu watakwambieni km ni wakweli.

Jitahidi umjue Kristo ili uwe na AMANI Moyoni Mwako.Yesu ni Upendo na Chemchem ya Amani na Utulivu.
 
Ajuza wewe komaa tu na hawa Watanzania wasiojua kufikiri kama wewe.

PIGANA nao hadi uwashinde. Kichuguu , muacheni FF ashinde kwani ni pekee anamJUA Nyerere kuzidi Mama Maria.

Jasusi , hivi Nyerere na Warioba waliMUFANYA nini huyu Ajuza wetu? Lazima kuna kisababu.
 
Back
Top Bottom