Hapo ndo ujasir wa kifisadi unapojionyesha Mkuu Invisible.
Yaani huwezi kujiaminisha kuingia mkataba na mkeo, wewe ukiwa kama kiongozi wa shirika la uma, mkeo awe supplier. Inahitaji ujasiri wa hali ya juu (wa kifisadi) kutekeleza hili.
Mkuu hii kitu sio kwamba watanzania hawakijui wanakijua fika,hatutaki kuchukua hatua kwanza kwa kubadili mind set yetu ili suala la integrity kwa viongozi iwe ni suala la lazima na kitaifa..Kama jamii tutaendelea na haka kamtindo ka kuwachekea walafi na wakiuka maadili ya kiuongozi tukubali kuendelea kuwa Taifa la hovyo.Hivi watu tunaposema Tanzania unatafunwa ikiwa mbichi bado hamuamini mnafikiri kesi kama hii ni jambo la kushangaza sana.
Sara Msafiri
Munde Tambwe,,,,,,
ZZK
Mkuu, huyo Mwakamele lazima mambo yake yawe safi. Hiyo ni sure deal business zabuni zote za maintenance ya umeme wamehodhi wao huku muidhinishaji ni Mhando mwenyewe ambaye ni partner. Utategemea nini hapo?( A)
Na huyu Mhando hana maadili kabisa, zabuni ya vifaa vya ofisini navyo mke wake (B)
A+B= uhujumu uchumi
Anaweza akawa hata anaviandikia WRITTEN OFF vifaa ambavyo bado vinaweza kutumika
Mkuu Sikonge: Zitto siyo mkaguzi wa Tanesco, yeye anafanya kazi kulingana na ripoti ya CAG na ndio maana aliomba CAG afanye ukaguzi maalumu.
haya hao wabunge kwenye ile kamati ya nishati na madini waliotaka mhando abaki na kwamba wakawa wanamtetea na wakawa mpaka na mpango wa kutoipitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini wako wapi? naomba tuwataje hao wabunge hapa....WE SHOULD NAME AND SHAME THEM!!
yaani post zote hizo hujaona tatizo?
zitto ni mwenyekiti wa kamati ya mashirika ya umma, ambapo tanesco ni mojawapo ya mashirika hayo. Alikuwa anamtetea mhando kwamba hana mawaa,sasa mawaa ndio hayo hapo juu. Aje amtetee tena.
Hivi huwa hufuatilii mijadala hapa jf? Wake up