Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,558
- 109,093
Mimi si mnafiki, ni wakati wa Zitto sasa kubeba kwa mikono miwili maneno yake na kipima uzito; na huyu ndie anaetaka urais......
Mungu ameamuwa kutuhurumia, miaka 50 tunatawaliwa kimabavu na CCM, kama haitoshi wanatokea tena Mafisadi Janjaweed kuja kuwadanganya hasa vijana waliopata Elimu ya kukalili vyuoni mwetu na kujifanya ndio Masiah kupitia Upinzani kumbe ni bora kuongozwa na Shetani kama Lowasa ambaye ameshaiba vya kutosha.
Taratibu sasa Watanzania wataanza kuelewa bila kutafsiliwa ni kwa nini kuna Wanasiasa uchwara wanataka katiba yetu iwekwe vipengere vya kuwaruhusu wao wagombee Urais kabla ya Maturity age. Hatudanganyiki.