Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Mkuu Mobona siioni Connection kati ya MC DONALD LIVELINE TECHNOLOGY na TANESCO?
Issue ya SANTA CLARA na TANESCO haina ubishi hata kidogo, Muhando lazima awajibike kwa sababu kuna conflict of interest.
Owners wa Mc Donald Live Line Technologies kwa mujibu wa hizo nyaraka ni nani na nani? Na kila mmoja anachukua kiasi gani? Na kiasi gani kinaachwa kama operational cost?
Na je Mc Donald wanashughulika na nini kwa mujibu wa hizo nyaraka?
Ukiweza kujibu hayo ndo rudi tena hapa