NYARAKA: Madudu mengine ya William Mhando ndani ya TANESCO

NYARAKA: Madudu mengine ya William Mhando ndani ya TANESCO

Kuna Mbunge mmoja namuona tuko pamoja naye hapa kwenye huu uzi, tufikishie salaam kwa Zitto Kabwe kwamba Janja yake ya Nyani tumeshambaini aendelee kuwadanganya Wasanii Wenzake wa Kigoma Leka Dutigite.

There are currently 79 users browsing this thread. (8 members and 71 guests)

Mkuu Matola , usishangae sana na revelation hii.

The logic is simple.

Wanasiasa wakubwa wameweza kuihujumu TANESCO, huku wafanyakazi wa TANESCO wakifahamu na kukaa kimya au kutotoa siri hizo, ili kuwalinda vigogo hao.

Leo nani wa kumchukulia hatua Mhando and co. ambaye naye aliamua kujilia kivyake toka 2008, akijua wazi kuwa ana siri nyingi moyoni?

Leo Mhando ametoswa, he is indanger!
 
Kuna Mbunge mmoja namuona tuko pamoja naye hapa kwenye huu uzi, tufikishie salaam kwa Zitto Kabwe kwamba Janja yake ya Nyani tumeshambaini aendelee kuwadanganya Wasanii Wenzake wa Kigoma Leka Dutigite.

There are currently 79 users browsing this thread. (8 members and 71 guests)

Mkuu Matola , usishangae sana na revelation hii.

The logic is simple.

Wanasiasa wakubwa wameweza kuihujumu TANESCO, huku wafanyakazi wa TANESCO wakifahamu na kukaa kimya au kutotoa siri hizo, ili kuwalinda vigogo hao.

Leo nani wa kumchukulia hatua Mhando and co. ambaye naye aliamua kujilia kivyake toka 2008, akijua wazi kuwa ana siri nyingi moyoni?

Leo! Pamoja na kufanya ufisadi akijua kuwa yuko safe,kuwa naye angelindwa, Mhando ametoswa, he is indanger!
 
Shark,

Hapo unaongelea ya 2008 nadhani. Na 2011?
Hapo ndo ujasir wa kifisadi unapojionyesha Mkuu Invisible.

Yaani huwezi kujiaminisha kuingia mkataba na mkeo, wewe ukiwa kama kiongozi wa shirika la uma, mkeo awe supplier. Inahitaji ujasiri wa hali ya juu (wa kifisadi) kutekeleza hili.
 
Last edited by a moderator:
Waanike kweupe pe ikiwezekana wavuliwe pichu hadharani.
 
Hapo ndo ujasir wa kifisadi unapojionyesha Mkuu Invisible.

Yaani huwezi kujiaminisha kuingia mkataba na mkeo, wewe ukiwa kama kiongozi wa shirika la uma, mkeo awe supplier. Inahitaji ujasiri wa hali ya juu (wa kifisadi) kutekeleza hili.

Halafu rais wetu mtarajiwa anatetea hili kama halijui uozo wake, hapo ndipo Zitto ninapomtoa thamani.
 
Hii ya 2011 nasikia ni kampuni ya mke wake japokuwa alikataa mwenyewe kwa kusema kuwa mkewe alikuwa ni muajiriwa tu wa kampuni hiyo.
Really?

attachment.php


Nakumbuka alitoa majibu haya:
"Mke wangu (Eva) aliacha kazi, lakini tulikuwa na kampuni hiyo ya stationery Kariakoo na kwa sababu biashara haikuwa nzuri kutokana na uwezo mdogo wa kifedha, tuliuza kampuni hiyo mwaka jana.

Mke wangu aliajiriwa tu katika kampuni hiyo baada ya kununuliwa ili waweze kutumia uzoefu wake katika kuiendesha.

"Sasa kwa nafasi ya mke wangu, yeye ni Mtendaji wa hiyo kampuni lakini shughuli zote za kutafuta shughuli zote za kutafuta zabuni zinafanywa na wakurugenzi wa kampuni hiyo, si mke wangu.

"Kwahiyo, walipoomba kazi TANESCO hatua zote zilifanyika kwa mujibu wa taratibu, kanuni na sharia na kampuni hiyo ilishandanishwa na kampuni nyingine na hatimaye ikashinda," alisema Mhando.
 
Hii ya 2011 nasikia ni kampuni ya mke wake japokuwa alikataa mwenyewe kwa kusema kuwa mkewe alikuwa ni muajiriwa tu wa kampuni hiyo.
Kaka,
Hata kama mkewe ni muajiriwa tu, bado ilitosha kua sababu ya kui-disqualify hii kampuni ku-tender hapo Tanesco. Na ndio maana mkataba sijaona popote walipouandikisha kwa mwanasheria yoyote maana ni kimeo.
 
Lakini mbona wakati Mhando bado yupo Tanesco hii issue haikuibuliwa? Inaibuliwa leo wakati ameshatimuliwa!
Alikuwa anogopwa au?

Kanuni ya uchakachuaji ni kwamba mtu anapokuwa kwenye system kazi yake ni kunusa huku na huku kuona ni namna gani atarekebisha mambo incase kutaonekana dalili ya siri kufichuka pia kama kutakuwa na hoja katika vikao itakayotaka ku-review mikataba mbalimbali mhusika anakuwa na jukumu la kuhakikisha agenda haisongi mbele, hivyo ndio maana tunashudia mengi baada ya huyu jamaa kuondoka (pia kama ukifuatilia mara nyingi kunapotokea shida mtu husimamishwa kazi kupisha uchunguzi, kwa maana nyingine kujenga mazingira kwa wachunguzi waweze kufanya kazi yao vizuri bila kuingiliwa)
 
Mkuu hii kaya iliyooza kuna wa kum-vet mwenzie kweli? Bila kuondoa huu mfumo tusahau kabisa maendeleo ambayo hayawezi kamwe kuletwa na akili zile zile zilizoyadunisha.

Natamani Uamsho, Ponda, na wanaharakati wengine focus yao kubwa ingekuwa kuwaunganisha watanzania wote dhidi ya upuuzi kama huu badala ya kujiangalia wao binafsi au makundi yao. Tuna safari ndefu mno.

Binafsi sioni tatizo. Mh rais hakuwa na shida ila sema mfumo uliopo ndivyo ulivyo, tunahitajika kubadilika sisi watanzania.
 
hii ndiyo tatizo ya mikataba kufanywa kuwa siri, ni watu wachache tu huwa wanayajua haya na huwa hawatoi siri mpaka wakosane, kumsema zitto mtakuwa manakosea, tungeanza na usalama wa taifa wetu wa taifa wetu,maana hii ni kazi yao wao 100%
 
Back
Top Bottom