NYARAKA: Madudu mengine ya William Mhando ndani ya TANESCO

NYARAKA: Madudu mengine ya William Mhando ndani ya TANESCO

Acheni ushabiki wa kijinga .... kosa lipo wapi hapo?
Hayo mambo yanahusiana vipi na mgao wa umeme au kutoa rushwa kwa wabunge?
Mnaanza kurudia yale yale ya DOWANS.
 
Acheni ushabiki wa kijinga .... kosa lipo wapi hapo?
Hayo mambo yanahusiana vipi na mgao wa umeme au kutoa rushwa kwa wabunge?
Mnaanza kurudia yale yale ya DOWANS.

ni kweli mkuu Kobello hana kosa kabisaa!
kujigawia tenda yeye na mke wake mbona si kosa,
Kufanya biashara kwa mtumishi wa umma mbona siyo kosa!
 
Last edited by a moderator:
haya hao wabunge kwenye ile kamati ya nishati na madini waliotaka mhando abaki na kwamba wakawa wanamtetea na wakawa mpaka na mpango wa kutoipitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini wako wapi? naomba tuwataje hao wabunge hapa....WE SHOULD NAME AND SHAME THEM!!

Sara Msafiri
Munde Tambwe,,,,,,
ZZK
 
Mkuu hii kaya iliyooza kuna wa kum-vet mwenzie kweli? Bila kuondoa huu mfumo tusahau kabisa maendeleo ambayo hayawezi kamwe kuletwa na akili zile zile zilizoyadunisha.

Natamani Uamsho, Ponda, na wanaharakati wengine focus yao kubwa ingekuwa kuwaunganisha watanzania wote dhidi ya upuuzi kama huu badala ya kujiangalia wao binafsi au makundi yao. Tuna safari ndefu mno.

PART II:

Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Idara yake ya Habari na Uenezi kitaibuka soon kuipongeza Bodi ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa kumsimamisha Mkurugenzi Mkuu kutokana na tuhuma mbali mbali.

Aidha, chama kitawaonya watendaji wengine wote wa taasisi za umma kutojihusisha na vitendo vilivyo kinyume na maadili ya kazi zao kwani sio sera ya chama wala ya serikali ya CCM.

Mwisho, chama kitawaomba watanzania wote kuwa watulivu wakati hatua stahiki dhidi ya "TUHUMA" hizo zikiendelea kuchukuliwa na mamlaka husika.

Itatolewa Leo,


Idara ya Habari na Uenezi, Makao Makuu.


Halafu, UWT, UVCCM, Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, TAHLISO, na jumuiya nyingine za Chama zitatoa "press releases" kuunga mkono hatua hiyo. Kisha UVCCM wataomba kibali cha maandamano kuiunga mkono serikali halafu Jeshi la Polisi litayazuia kutokana na hali tete iliyopo nchini.

NA MCHEZO UTAKUWA UMEISHIA HAPO. Ha ha ha ha ha!
......

Mkuu Dudus HIYO QUOTE yako imenigusa saana ingekuwa watu woote wana akili kama zako ukimwi ungekuwa ni historia, maana imenenwa kuwa ni mpumbavu alalaye na kahaba, hana akili kabisa!!!!!!

 
Nilitaka kushangaa kampuni ya MC DONALD kupata tenda zote zile mikoa ya mtwara na lindi!

Lakini kumbe ukweli ni kuwa mkuu wa tanesco alikuwa ni mmoja wa wakurugenzi!
 
watanzania mnataka kushuhudia au kusikia jambo lipi ili tufanye maamuzi?.....
Hatujui la kufanya, tufanye nini sasa????? Mabomu ya machozi na mauwaji ya Mwangosi, mauwaji Arusha, mabomu , mabomu, MABOMU!!!!

 
kwa upande wa kanisa analosali, hawatakaa wakubali ni mwizi simply bse alikuwa ni mtoa sadaka mzuri.

ndomaana waisilamu wanasema mnawanyanyasa mnatumia fedha za uma kujengea makanisa na kuchangia shule. Shame on you all.
Anatakiwa anyongwe hadharani.
 
Huyu mnyakyusa mwenzangu Mc Donald nilikutana naye Rwanda kwenye pilika za maonyesho ya mambo yao ya Umeme.Jamaa ni Predeshee wa ukweli ,kwanza nilijiuliza maswali mengi sana kuhusu mafanikio yake ya kutisha kumbe haya ndio madudu wanayofanya.

Kweli nchi yetu inatafunwa

Mkuu, huyo Mwakamele lazima mambo yake yawe safi. Hiyo ni sure deal business zabuni zote za maintenance ya umeme wamehodhi wao huku muidhinishaji ni Mhando mwenyewe ambaye ni partner. Utategemea nini hapo?( A)

Na huyu Mhando hana maadili kabisa, zabuni ya vifaa vya ofisini navyo mke wake (B)

A+B= uhujumu uchumi

Anaweza akawa hata anaviandikia WRITTEN OFF vifaa ambavyo bado vinaweza kutumika
 
Huyu muhando bado yupo mtaani..
Kova unasubiri nini sasa,
Mkamate huyu jamaa mapema sana, kosa lake kubwa kuliko la waliomuua mzinzi wenu wa Mwanza.
 
Mwakamele huyu ndiyo Pedeshee Mwakamele ambaye sasa ni marehemu au huyu ni mwingine?......
Mwakamele huyu yupo hai na anajulikana kama McDonald. Kuna kipindi fulani alipigwa changa la macho na kina Ray na Johari alipojiingiza kwenye masuala ya Movie, baadaye akatengeneza sinema ya 'Mtoto wa Mjini' iliyokuwa ikimponda Ray...
 
The degree of morality as for the past two decades have been eroded. The whole system is rotten, the checks and balances of power have been compromised and currently Tanzania is in the stage of MAN EATS A MAN! Unless we overhaul the whole system, nothing shall be accomplished!
 
Siamini kama kuna serikali. Kama ipo imelala na itaamka mwaka 2015.
 
Mkuu Mobona siioni Connection kati ya MC DONALD LIVELINE TECHNOLOGY na TANESCO?

Issue ya SANTA CLARA na TANESCO haina ubishi hata kidogo, Muhando lazima awajibike kwa sababu kuna conflict of interest.
 
mimi nikiona jina la mwakamele tu, nakumbuka yule binti aliyeuwawa arusha na wauwaji wakasema and she was nicknamed Neema MWakamele

ile kesi sijui imeishia wapi

Nilikua arusha by then, it was a horror movie

samahani akina mwakamele
 
Hapo ndipo atakapoona gharama ya kuwa white elephat. Kwa hili ni lazima aingie kikaangoni tu, kumtetea mtu kumbe hamnazo aiseeee.

nasikia bodi ya tanesco wamesema hatashitakiwa sasa ushahidi wote huo kwanini mtu asifikishwe mahakama?? kama serikali haitamshitaki basi Naomba wananchi kupitia taasisi za kisheria tumshitaki mahakani haiwezekani tukaendela kulea huu ujinga serikali dhaifu
 
Invisible Nadhani vetting haziwahusu watu wote wa nchi hii pale wanapotakiwa kwenye uteuzi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom