No matter how sweet it is......

Bila shaka Lack of money lazima imehusika kwenye huu uzi, Tutafute hela.
 
Hapo unashindwa kujibu chochote machozi yanakua yanakulenga lenga tu
 
Mnunulie mpelekee kama zawadi ya shukrani kwa kipindi alichokuvumilia mkuu
 
Njoo kwangu kuna Everlasting Sweetness!
Hahaha everlasting sweetness ipo mbinguni tu maana hata duniani penyewe pamoja na kuwa na yesu bado tabu ziko pale pale....ila tumaini tu ndo huwa lipo
 
Bila shaka Lack of money lazima imehusika kwenye huu uzi, Tutafute hela.
🤣🤣🤣🤣
Chezea kuachwa ww...
Watu wanaanza kujitoa sasa mara ooh ntakupa hela ya kusuka naona nywele zimechakaa
 
Asee haya mambo yapo na yanaumizaa. Ila ukiwa single mda mrefu Kuna time unamiss moments za kutoa chozi tena kwaajili ya mapenzi looh. Huyo nlitoka kwe mbavu zake sjui Yuko api kwani
Pambana usiwe weak japo vinauma...
 
Mm ukinipenda nakuganda😂🙌
I can't let someone sweet go away 🤣🥳
 
First love ang alikua arabic girl,
Her innocent eyes still haunting me,
Its poignant reminder with indelible pain in my heart.

The nostalgic feelings of good old days.

Her pit innocent eyes it's hard to forget, we were strangers in a very strange land, we felt in love and one morning she woke up and said it's over 🥺
Believe me it really was and she is irreplaceable 😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…