No matter how sweet it is......

No matter how sweet it is......

🤣🤣🤣🤣
Chezea kuachwa ww...
Watu wanaanza kujitoa sasa mara ooh ntakupa hela ya kusuka naona nywele zimechakaa
me huwezi ntisha hivyo sikupi hela yoyote nakuambia pita hivi😁😁
 
Me bhana najua ntaumia roho kidogo siku mke wangu akiamua kuondoka na roho itauma kwaajili ya malezi ya watoto basi ila nikutane na dem hata awe na uzuri gani nikishamla mbususu yake basi naridhika na siwezi hata kumkumbuka na sitarajii itokee niwe na hisia kali tena kwa mwanamke dah ni ngumu kila nikikumbuka familia na furaha nilio nayo alooo huo mlupo nabakia kuusuuza vizuri na kuuacha uende tena nakata mazoea kabisaaaa
 
Kuna binadamu wana roho mgumu nyie!!, sasa kama mtu ulikuwa humtaki au unahisi hakufai kwanini ulimkubalia from the first,
 
Umesahau na hii mkuu

Give me space in need time to be alone
Hii ipo zaidi kwa drama qeen

Ukikutana navyo wee pasua tuu
 
Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.

Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Kama unanisema hiviiii
 
Back
Top Bottom