Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Na sina kazi na akili acha niwe hivihivi tu 😋🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We fala sana
Na sina kazi na akili acha niwe hivihivi tu 😋🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We fala sana
Siwezi kupiga vitu kama haupo jirani yangu... na unajuaLeo kuna kitu umepiga sio buree
Ewaa... Wana JF naomba mjue nampenda huyu binti .... mjumuike nasi baadae....!Twende ngao badae
Siwezi kuvuta kitu hadi uwe jirani, najua unajuaHahahahaha ulichovuta leo usirudiee
MmhHeri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna muda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is....
Yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.
Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?