No matter how sweet it is......

No matter how sweet it is......

mkuu hajui kwa kweli hata nikiwa nae kimahusiano sijawahi kuwa muwazi nilitaka anijue mdogomdogo. yaani asinikubali haraka.
Hata wakati namuambia aniache kisa siko vzr kimaisha nilimuambia ya kuwa hujui background yangu na pia sijawahi kukuambia mengi kunihusu. so please Naomi naomba uniache maana naona hali ikiwa hii nitazidi pata stress au kuumia mbeleni
Uyo naomi ni mfupi 😄 isijekuwa ni yule naomi wangu
 
Kwa hiyo G ndio sio wa kwangu tena?
Vaa hivyo viatu hafafu machozi yanamdondoka mtu....hiyo picha itakutoka?
Lols G ndo nani tena kaka mzuri?
Ukiangalia machozii utapotea sana....
Kwanza muda huo hupaswi kuangalia machoni. Wewe unaangalia chini tu maana ukimuangalia utaahirisha
 
Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeye 😂😂😂 Yan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki
😅😅😅 Dah nimecheka sana kwenye mauongo ,kukutana na mavimpire unyama unyama kama siyo kukaza wangekutoa roho
 
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .

inapain ila sina jinsi .
Mkuu mnunulie tu umpelekee hata kama siyo manzi wako-anadeserve
 
Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.

Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Uncle kasepa, mwaka ungali mbichi kabisa 😎.
 
Asee haya mambo yapo na yanaumizaa. Ila ukiwa single mda mrefu Kuna time unamiss moments za kutoa chozi tena kwaajili ya mapenzi looh. Huyo nlitoka kwe mbavu zake sjui Yuko api kwani
 
Asee haya mambo yapo na yanaumizaa. Ila ukiwa single mda mrefu Kuna time unamiss moments za kutoa chozi tena kwaajili ya mapenzi looh. Huyo nlitoka kwe mbavu zake sjui Yuko api kwani
Unataka kusemaje binti?
Umemiss nini jamani hebu sema neno😁
 
Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeye Yan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki
umekuwa mkweli kwa kukiri uwongo wako.Hii comment imenichekesha hatari.
 
Back
Top Bottom