No matter how sweet it is......

No matter how sweet it is......

Kuna kabinti kaliambiwa na jamaa yangu maneno ya kufanana na hayo mbele ya macho yangu majuzi nimekutana nako. Nikakauliza ulijisikiaje baada ya jamaa kukupa vile vidonge.Kakanijibu ilibaki kidogo nijinyee haa haa.Kanadai bado jamaa anazunguka kichwani.
 
Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeye 😂😂😂 Yan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki
 
Kuna kabinti kaliambiwa na jamaa yangu maneno ya kufanana na hayo mbele ya macho yangu majuzi nimekutana nako.Nikakauliza ulijisikiaje baada ya jamaa kukupa vile vidonge.Kakanijibu ilibaki kidogo nijinyee haa haa.Kanadai bado jamaa anazunguka kichwani.
Hahaha unaweza fikia mshindo asee
Ila jamaa ako naye ana roho ngumu. Yan ndo akipige kibuti mbele za watu?
 
Basi
Kinachotugharimu ni matarajio ya kupata vizuri na vinavyopendeza na tunavyovitamani na vya kutufurahisha kutoka kwa binadamu mwenzetu ambaye naye anatarajia hivyo hivyo.

Mwisho wa yote vinakisekana kwa sababu binadamu hatujawahi kutosheka na kimoja, ukipata hiki utataka kile ukipata kile utataka kingine, ongezea na ugumu wa maisha, matokeo yanakuwa ndio hayo.

Kwa sasa watu wanaoishi kwa amani na furaha ni watawa pekee, kwao ni changamoto za kawaida ambazo kila kiumbe anazo.

Dunia ina majasusiiii
Ila kuachana kuzuri mtakiwa mgombane tu hata ikiwezekana mpigane makonde,,,lakini mkiachana kwa amani namna hiyo lazima mtakuja kurudiana tu siku Moja.

Coz binadamu tunakuwaga na huruma kwa wenzetu, Sasa itafikia hatua ukae chini na kuanza kujiuliza hivi huyu alinikosea Nini ndo nimwache? Unagundua hakuwa na ubaya wowote unaamua kumtafuta na kumuomba radhi mrudiane😂
 
Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeye 😂😂😂 Yan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki
Mkuu mauongo ya nn sasa si uwe mkweliii tuu?
 
Hahaha unaweza fikia mshindo asee
Ila jamaa ako naye ana roho ngumu. Yan ndo akipige kibuti mbele za watu?
Haa haa ni mwehu lakini mali hazisikii haziambiwi.
 
Basi



Ila kuachana kuzuri mtakiwa mgombane tu hata ikiwezekana mpigane makonde,,,lakini mkiachana kwa amani namna hiyo lazima mtakuja kurudiana tu siku Moja.

Coz binadamu tunakuwaga na huruma kwa wenzetu, Sasa itafikia hatua ukae chini na kuanza kujiuliza hivi huyu alinikosea Nini ndo nimwache? Unagundua hakuwa na ubaya wowote unaamua kumtafuta na kumuomba radhi mrudiane😂
Tatizo linakuja baada ya kufanya calculatio na kuona mtu ni liability than an asset..
Unajiuliza nilipendaje pale?? Mbona kama hapaelewekiii ndo unaanza siasaaaza kumuacha... hapo hata kama ni kiporo kitapashika kwa shida sanaa
 
Nakadori umeniquote hapo juu .mkuu unajua ilikuwaje???

Kuna mwanamke so beautiful. unajua beautiful wewe basi ndio yule anaitwa Naomi .
yule mwanamke hatukutongozana ila ni love at first sight. hiyo ni 2020.
Alikuwa bikra kabisa. Alisema kawabania wote kanipa mimi hiyo chance. sikufanya ajizi .Alinipenda sana nilimpenda kwani alinitoa katika stress za mapenzi ndio akawa tiba yangu.
maisha yakaenda nimemaliza chuo mambo hayaendi mtoto yuko na mimi tu. imefika stage mwaka Jana wa kumi nikamuweka chini

nikamuambia mama maisha yangu naona kutoboa kwa sasa ni ngumu najua hujawa influenced na chchte kuwa na me ila pesa ni muhimu pia kwenye mapenzi ila please ona hadi ninashindwa kukununulia jezi ya Yanga . kweli hii sio sawa najua itafika Kipindi utanichoka .

kwanza wakuu nilifikiria sana kbla ya kufikia uamuzi huo. ila nikawa sina jinsi ila nikawa na hope mambo yanaenda pouwa imani nilikuwa nayo na bado ninayo kuwa kutoboa hakuko mbali.
,
basi alinielewa lakini mimi nikijisema kwamba akikataa kuniacha na kunivumilia basi once nikitoboa siji spend maisha na mwanamke mwingine zaidi yake.
Lakini Ndyo hivyo alienda huku nampenda.

Guess what November nimeitwa job baada ya kupass certain i nterview baada ya kuwa jobless kwa miaka kadhaa.
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .

inapain ila sina jinsi .
 
Afadhali umuache kwa kutumia mbinu ya "ghosting" kuliko kumuacha kwa style hiyo maana hapo utakuwa umemuachia maumivu makali Sana ambayo hakuwa ameyatarajia.

Ghosting Ni unamuacha tu kimya kimya.Humtafuti tena, message zake hujibu, Simu zake hupokei na baadae unaamua kumblock kbsa.Kufikia hapo atajiongeza mwenyewe kwamba humhitaji tena.
Tatizo linakuja baada ya kufanya calculatio na kuona mtu ni liability than an asset..
Unajiuliza nilipendaje pale?? Mbona kama hapaelewekiii ndo unaanza siasaaaza kumuacha... hapo hata kama ni kiporo kitapashika kwa shida sanaa
 
Afadhali umuache kwa kutumia mbinu ya "ghosting" kuliko kumuacha kwa style hiyo maana hapo utakuwa umemuachia maumivu makali Sana ambayo hakuwa ameyatarajia.

Ghosting Ni unamuacha tu kimya kimya.Humtafuti tena, message zake hujibu, Simu zake hupokei na baadae unaamua kumblock kbsa.Kufikia hapo atajiongeza mwenyewe kwamba humhitaji tena.
Hii yenyewe mbona inaumiza piaaa
Bora ya papo kwa papo anaumia akijua moja
 
Nakadori umeniquote hapo juu .mkuu unajua ilikuwaje???

Kuna mwanamke so beautiful. unajua beautiful wewe basi ndio yule anaitwa Naomi .
yule mwanamke hatukutongozana ila ni love at first sight. hiyo ni 2020.
Alikuwa bikra kabisa. Alisema kawabania wote kanipa mimi hiyo chance. sikufanya ajizi .Alinipenda sana nilimpenda kwani alinitoa katika stress za mapenzi ndio akawa tiba yangu.
maisha yakaenda nimemaliza chuo mambo hayaendi mtoto yuko na mimi tu. imefika stage mwaka Jana wa kumi nikamuweka chini

nikamuambia mama maisha yangu naona kutoboa kwa sasa ni ngumu najua hujawa influenced na chchte kuwa na me ila pesa ni muhimu pia kwenye mapenzi ila please ona hadi ninashindwa kukununulia jezi ya Yanga . kweli hii sio sawa najua itafika Kipindi utanichoka .

kwanza wakuu nilifikiria sana kbla ya kufikia uamuzi huo. ila nikawa sina jinsi ila nikawa na hope mambo yanaenda pouwa imani nilikuwa nayo na bado ninayo kuwa kutoboa hakuko mbali.
,
basi alinielewa lakini mimi nikijisema kwamba akikataa kuniacha na kunivumilia basi once nikitoboa siji spend maisha na mwanamke mwingine zaidi yake.
Lakini Ndyo hivyo alienda huku nampenda.

Guess what November nimeitwa job baada ya kupass certain i nterview baada ya kuwa jobless kwa miaka kadhaa.
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .

inapain ila sina jinsi .
Mtafute au ndio keshaolewa?
 
Back
Top Bottom