cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,180
Haswaaaah,Pole
Bora nusu shari kuliko shari kamiliio
Haswaaaah,Pole
Bora nusu shari kuliko shari kamiliio
Njoo kwangu kuna Everlasting Sweetness!Bora umuwah kabla hajakiwah kama alama nyekundu ushaiona
Kabisaaaaaa lakini inauma saaaaaaaaana,Bora umuwah kabla hajakiwah kama alama nyekundu ushaiona
Hapo unashindwa kujibu chochote machozi yanakua yanakulenga lenga tu
See Baby it can't work between us.... we just have to end it here...
Thanks for the sweet moments we shared and sorry for the bad ones...
Sorry love
Na hapo umepelekwa kwenye bongeeee la dinner...unaweza tamani kupaa au kutapika ulicholishwa![]()


Mnunulie mpelekee kama zawadi ya shukrani kwa kipindi alichokuvumilia mkuuNakadori umeniquote hapo juu .mkuu unajua ilikuwaje???
Kuna mwanamke so beautiful. unajua beautiful wewe basi ndio yule anaitwa Naomi .
yule mwanamke hatukutongozana ila ni love at first sight. hiyo ni 2020.
Alikuwa bikra kabisa. Alisema kawabania wote kanipa mimi hiyo chance. sikufanya ajizi .Alinipenda sana nilimpenda kwani alinitoa katika stress za mapenzi ndio akawa tiba yangu.
maisha yakaenda nimemaliza chuo mambo hayaendi mtoto yuko na mimi tu. imefika stage mwaka Jana wa kumi nikamuweka chini
nikamuambia mama maisha yangu naona kutoboa kwa sasa ni ngumu najua hujawa influenced na chchte kuwa na me ila pesa ni muhimu pia kwenye mapenzi ila please ona hadi ninashindwa kukununulia jezi ya Yanga . kweli hii sio sawa najua itafika Kipindi utanichoka .
kwanza wakuu nilifikiria sana kbla ya kufikia uamuzi huo. ila nikawa sina jinsi ila nikawa na hope mambo yanaenda pouwa imani nilikuwa nayo na bado ninayo kuwa kutoboa hakuko mbali.
,
basi alinielewa lakini mimi nikijisema kwamba akikataa kuniacha na kunivumilia basi once nikitoboa siji spend maisha na mwanamke mwingine zaidi yake.
Lakini Ndyo hivyo alienda huku nampenda.
Guess what November nimeitwa job baada ya kupass certain i nterview baada ya kuwa jobless kwa miaka kadhaa.
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .
inapain ila sina jinsi .
Mm ukinipenda nakuganda😂🙌Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.
Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Sijakuelewa kabisaPusha wako yuko serious sana na kazi yake 😂
Wala sijasema neno ila tu kuwa single Kuna wakati kunachosha so unaamua tu ukomae na limtu lakoUnataka kusemaje binti?
Umemiss nini jamani hebu sema neno😁