sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Haya majina ya Neena ni balaaa.Nimemkumbuka neema wangu,
wish her all the best.
Haya majina ya Neena ni balaaa.Nimemkumbuka neema wangu,
wish her all the best.
Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeyeYan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki


umekimbia Malaika umeangukia Kwa mavampires hahaah inabidi udance kizombi Zombi tuuuNoma saanaa. Mzeee karibu Ku mcall na kumuelezeaNakadori umeniquote hapo juu .mkuu unajua ilikuwaje???
Kuna mwanamke so beautiful. unajua beautiful wewe basi ndio yule anaitwa Naomi .
yule mwanamke hatukutongozana ila ni love at first sight. hiyo ni 2020.
Alikuwa bikra kabisa. Alisema kawabania wote kanipa mimi hiyo chance. sikufanya ajizi .Alinipenda sana nilimpenda kwani alinitoa katika stress za mapenzi ndio akawa tiba yangu.
maisha yakaenda nimemaliza chuo mambo hayaendi mtoto yuko na mimi tu. imefika stage mwaka Jana wa kumi nikamuweka chini
nikamuambia mama maisha yangu naona kutoboa kwa sasa ni ngumu najua hujawa influenced na chchte kuwa na me ila pesa ni muhimu pia kwenye mapenzi ila please ona hadi ninashindwa kukununulia jezi ya Yanga . kweli hii sio sawa najua itafika Kipindi utanichoka .
kwanza wakuu nilifikiria sana kbla ya kufikia uamuzi huo. ila nikawa sina jinsi ila nikawa na hope mambo yanaenda pouwa imani nilikuwa nayo na bado ninayo kuwa kutoboa hakuko mbali.
,
basi alinielewa lakini mimi nikijisema kwamba akikataa kuniacha na kunivumilia basi once nikitoboa siji spend maisha na mwanamke mwingine zaidi yake.
Lakini Ndyo hivyo alienda huku nampenda.
Guess what November nimeitwa job baada ya kupass certain i nterview baada ya kuwa jobless kwa miaka kadhaa.
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .
inapain ila sina jinsi .
Sina tabia ya kuupumzisha moyo,,nimeacha mtu saivi,,2 or 3 hrs later nipo kwenye penzi jipya...




Kata mti panda mtiNi tit for tatKata mti panda mti
Sio wachoyo kabisa!Haya majina ya Neena ni balaaa.
NakadoriHeri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is....
Yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.
Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Safi mtoto mzuri, akikuacha njoo my PM is open kwa ajili yako mama la mama 🙂😋. Twende sehemu tukapate vijinyama choma kidogoPole ya nini...asee me sijaachana na mtu ni uzi tu bwana
Nitajifunza tu, au nifundishe kuviweza vya kuchinja mama laoWe nae Acha kelele basiiii
Umezoea vya kunyonga vya kuchinga hutawezaa 🚶♂️
Imenikuta hii, I know how it feels.Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is....
Yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.
Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Hii ramli au? (•‿•)Umembwaga mwanaume huko mpendwa?
Hongera kwa kuwa single afadhali utaanza kumjibu pm sasa
Achana na hayo masuala, njoo PM tuyajenge, nimeshauza shamba langu la KeregeTushirikishe ilikuwaje