No matter how sweet it is......

No matter how sweet it is......

Nakadori umeniquote hapo juu .mkuu unajua ilikuwaje???

Kuna mwanamke so beautiful. unajua beautiful wewe basi ndio yule anaitwa Naomi .
yule mwanamke hatukutongozana ila ni love at first sight. hiyo ni 2020.
Alikuwa bikra kabisa. Alisema kawabania wote kanipa mimi hiyo chance. sikufanya ajizi .Alinipenda sana nilimpenda kwani alinitoa katika stress za mapenzi ndio akawa tiba yangu.
maisha yakaenda nimemaliza chuo mambo hayaendi mtoto yuko na mimi tu. imefika stage mwaka Jana wa kumi nikamuweka chini

nikamuambia mama maisha yangu naona kutoboa kwa sasa ni ngumu najua hujawa influenced na chchte kuwa na me ila pesa ni muhimu pia kwenye mapenzi ila please ona hadi ninashindwa kukununulia jezi ya Yanga . kweli hii sio sawa najua itafika Kipindi utanichoka .

kwanza wakuu nilifikiria sana kbla ya kufikia uamuzi huo. ila nikawa sina jinsi ila nikawa na hope mambo yanaenda pouwa imani nilikuwa nayo na bado ninayo kuwa kutoboa hakuko mbali.
,
basi alinielewa lakini mimi nikijisema kwamba akikataa kuniacha na kunivumilia basi once nikitoboa siji spend maisha na mwanamke mwingine zaidi yake.
Lakini Ndyo hivyo alienda huku nampenda.

Guess what November nimeitwa job baada ya kupass certain i nterview baada ya kuwa jobless kwa miaka kadhaa.
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .

inapain ila sina jinsi .
Kumbe wew man ndio ulimtoa bikira naomi wangu.

Ila usiwaze sana, Naomi yuko sehemu salama. Nampenda.


Ila ulizingua mtoto mkali kama yule unamuacha kisa huna pesa ya jezi.
 
It happens. Last time ilibidi nitafute a very diplomatic way to cut things off. Unaona kabisa things are going well, mtoto wa watu anakuja mzima mzima, ila ukiangalia mbele unajua hamtoboi.

Kuna wanaoambiwa ukweli kwamba things won't work out, kuna wanaopigwa matukio ili tu kuwacut off, then kuna ambao unawatengenezea mazingira wakuache wenyewe!

Crazy stupid love!
 
Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.

Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Yes nishakutana nayo.

Nilimpenda binti mzuri sana baada ya kumtongoza kwa wiki nne usiku na mchana (ni kweli usiku na mchana) alikuja kunikubalia Alfajiri moja hivi huku adhana inalia

Sharti ikabidi tudate kwa miaka miwili ya chuo kisha kila mmoja aende na maisha yake, ile siku tunafanya graduu kama movie la kihindi

She’s in my hearts mpaka sasa Sijaona mwanamke mwenye moyo safi kama yule
 
It happens. Last time ilibidi nitafute a very diplomatic way to cut things off. Unaona kabisa things are going well, mtoto wa watu anakuja mzima mzima, ila ukiangalia mbele unajua hamtoboi.

Kuna wanaoambiwa ukweli kwamba things won't work out, kuna wanaopigwa matukio ili tu kuwacut off, then kuna ambao unawatengenezea mazingira wakuache wenyewe!

Crazy stupid love!
Kuna watu hata uwafanyie matukio ili wakuache.

Hawakuachi ndio wanazidi kufall.
 
Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeye 😂😂😂 Yan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki
Itakugharimu kaka... Njia ya muongo ni fupi na matokeo ya uongo ni mabaya sana! Mfanye mwenza wako akupende the way ulivyo.
 
Yes nishakutana nayo.

Nilimpenda binti mzuri sana baada ya kumtongoza kwa wiki nne usiku na mchana (ni kweli usiku na mchana) alikuja kunikubalia Alfajiri moja hivi huku adhana inalia

Sharti ikabidi tudate kwa miaka miwili ya chuo kisha kila mmoja aende na maisha yake, ile siku tunafanya graduu kama movie la kihindi

She’s in my hearts mpaka sasa Sijaona mwanamke mwenye moyo safi kama yule
Muondoe
Utawapa shida wengine.
Utakuwa unafanya mlinganisho, then unagundua hawana hata nusu ya yule,, unaanza kuwapuuzia.
Penzi linakuwa halinogi inavyotakiwa.
 
Tatizo linakuja baada ya kufanya calculatio na kuona mtu ni liability than an asset..
Unajiuliza nilipendaje pale?? Mbona kama hapaelewekiii ndo unaanza siasaaaza kumuacha... hapo hata kama ni kiporo kitapashika kwa shida sanaa
Ulikuwa unamlea jamaa?! 😃😃😄😄😅🙌🏾

Maana vijana wa sasa hawana haya... wanaomba pesa mpaka kwa mademu zao siku hizi 😂😂🙌🏾
 
Muondoe
Utawapa shida wengine.
Utakuwa unafanya mlinganisho, then unagundua hawana hata nusu ya yule,, unaanza kuwapuuzia.
Penzi linakuwa halinogi inavyotakiwa.
Depal uko sahihi 100%

Baada ya yeye wamekuja wengi sana na kwa baadhi yao nilikuwa muwazi kuwa kuna mtu kichwani na wakanikubali hivyo hivyo na mapenzi niliyoishi sikuwa na moyo i had so much fun nila hisia

Mpka nilipokutana na Cousin wangu, kiboko yangu, Ex wangu huyu ndiyo nataka niweke mambo sawa nimsahau yule

Maana walau Cousin ndiye anafanana naye,
 
Sasa huo uchizi... sometimes utamuacha mtu sahihi maishani baadae ndo unagundua when it's too late!
Hahaha
Kila mtu Ana vigezo vyake vya perfect man...
Kama mwanaume bado anatafuta bora mapenzi ayaweke pembeni kwanza maana hii ya it can not work haitakwepeka kwake
 
Ulikuwa unamlea jamaa?! 😃😃😄😄😅🙌🏾

Maana vijana wa sasa hawana haya... wanaomba pesa mpaka kwa mademu zao siku hizi 😂😂🙌🏾
Hahaha me mwenyewe napenda kulelewa halafu nikulee wewe..... kulea mwanaume.ni big no...

Eti bebi naomba nauli nije...haha aloooo
 
Depal uko sahihi 100%

Baada ya yeye wamekuja wengi sana na kwa baadhi yao nilikuwa muwazi kuwa kuna mtu kichwani na wakanikubali hivyo hivyo na mapenzi niliyoishi sikuwa na moyo i had so much fun nila hisia

Mpka nilipokutana na Cousin wangu, kiboko yangu, Ex wangu huyu ndiyo nataka niweke mambo sawa nimsahau yule

Maana walau Cousin ndiye anafanana naye,
So unamkula cousin?
 
Hahaha me mwenyewe napenda kulelewa halafu nikulee wewe..... kulea mwanaume.ni big no...

Eti bebi naomba nauli nije...haha aloooo
Hayajakukuta... waulize wenzio ila sidhani kama watakubali kukwambia maana mpaka mwanamke akimhudumia au kumpiga tough mwanaume wake kampenda kweli na kwa dhati
 
Hayajakukuta... waulize wenzio ila sidhani kama watakubali kukwambia maana mpaka mwanamke akimhudumia au kumpiga tough mwanaume wake kampenda kweli na kwa dhati
Me labda nimkopeshe na asipolipa ndo ticket ya kibuti
Kulea mwanaume big no
 
Back
Top Bottom