Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,185
Natakiwa kuchukua uamuzi kama huu ila I am very deeply in love with her, shida bado mtoto sana kwangu enough to be my daughter. I am in love with wrong personHeri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.
Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Thanks God nimechukua hatua japo nipo kwenye maumivu makali but I am moving. Mm ni aina ya wanaume ambao hupata shida sana inapofika suala la kuachana. Ila huwa nikiondoka naondoka polepole lakini kwa uhakika na bila makelele. Huyu nimeanza kwa kupunguza mawasiliano but inside me nateketea coz nlikuwa nampenda to the core, nitakata huduma hapa namsubiria tarehe za mshahara zifike ila hpa ndo pagumu maana mtoto yule huwa siwezi kumwona anashida nikavumilia hata kama tumegombana akilia kidogo tu huwa namtumia hela sasa mwezi huu sijui nitumie mbinu gani.Natakiwa kuchukua uamuzi kama huu ila I am very deeply in love with her, shida bado mtoto sana kwangu enough to be my daughter. I am in love with wrong person
Wa kiboshoHapana aisee.
Wa kibosho
Mm naangukia kwa familia maskini sanaUpo sahihi kabisa ,kila mwanamke ninaedate nae nikija kuchunguza vizuri nagundua single mama yaani imekuwa kama mkosi.
Depal uko sahihi 100%
Baada ya yeye wamekuja wengi sana na kwa baadhi yao nilikuwa muwazi kuwa kuna mtu kichwani na wakanikubali hivyo hivyo na mapenzi niliyoishi sikuwa na moyo i had so much fun nila hisia
Mpka nilipokutana na Cousin wangu, kiboko yangu, Ex wangu huyu ndiyo nataka niweke mambo sawa nimsahau yule
Maana walau Cousin ndiye anafanana naye,
Mkuu are u in love with ur cousin?Mkuu unanipa moyo sana
Uongo haujawahi kumwacha mtu salama π€£π€£π€£Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeye πππ Yan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki
Jiandae kisaijolojiaNaona hii kitu inaenda kunikuta namimi
Ni kipindi kigumu sanaMimi currently nipo kwenye hyo hali... naumia mnoooooo
Nipo fiti liwalo na liweJiandae kisaijolojia
MbususuKuna binadamu wana roho mgumu nyie!!, sasa kama mtu ulikuwa humtaki au unahisi hakufai kwanini ulimkubalia from the first,
Drama queens wahi kumuacha usisubiri akuanze yeye apate points za bure πUmesahau na hii mkuu
Give me space in need time to be alone
Hii ipo zaidi kwa drama qeen
Ukikutana navyo wee pasua tuu
Jamani natamani Naomi wako arudi kwakoNakadori umeniquote hapo juu .mkuu unajua ilikuwaje???
Kuna mwanamke so beautiful. unajua beautiful wewe basi ndio yule anaitwa Naomi .
yule mwanamke hatukutongozana ila ni love at first sight. hiyo ni 2020.
Alikuwa bikra kabisa. Alisema kawabania wote kanipa mimi hiyo chance. sikufanya ajizi .Alinipenda sana nilimpenda kwani alinitoa katika stress za mapenzi ndio akawa tiba yangu.
maisha yakaenda nimemaliza chuo mambo hayaendi mtoto yuko na mimi tu. imefika stage mwaka Jana wa kumi nikamuweka chini
nikamuambia mama maisha yangu naona kutoboa kwa sasa ni ngumu najua hujawa influenced na chchte kuwa na me ila pesa ni muhimu pia kwenye mapenzi ila please ona hadi ninashindwa kukununulia jezi ya Yanga . kweli hii sio sawa najua itafika Kipindi utanichoka .
kwanza wakuu nilifikiria sana kbla ya kufikia uamuzi huo. ila nikawa sina jinsi ila nikawa na hope mambo yanaenda pouwa imani nilikuwa nayo na bado ninayo kuwa kutoboa hakuko mbali.
,
basi alinielewa lakini mimi nikijisema kwamba akikataa kuniacha na kunivumilia basi once nikitoboa siji spend maisha na mwanamke mwingine zaidi yake.
Lakini Ndyo hivyo alienda huku nampenda.
Guess what November nimeitwa job baada ya kupass certain i nterview baada ya kuwa jobless kwa miaka kadhaa.
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .
inapain ila sina jinsi .
Jamani natamani Naomi wako arudi kwako