No matter how sweet it is......

No matter how sweet it is......

Ndo hvo mwanaume jitume utafute chako na cha watoto
Imagine nakupa kila kitu na nakuhonga na nakupeleka kokote labda kusafiri tu hatujawahi alafu unapigwa sound nje unaniacha... *****! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ
 
Nimekuwa hamnazo tena??
Huamini unaweza kuachwa hata kama unatoa huduma na kila kitu?! Kama alipendwa na Mjukuu wa Azam au kikwete je?! Kwann apoteze muda na hohehae?! Au kama ni wewe upigwe sound na kigogo au mtoto wa kigogo utapoteza muda kuendelea na uliyenae sasa?! Kwa nyie wanawake wa sasa?! πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mbona kama dongo langu hili au ni wewe uliyeniacha juzi
 
Huamini unaweza kuachwa hata kama unatoa huduma na kila kitu?! Kama alipendwa na Mjukuu wa Azam au kikwete je?! Kwann apoteze muda na hohehae?! Au kama ni wewe upigwe sound na kigogo au mtoto wa kigogo utapoteza muda kuendelea na uliyenae sasa?! Kwa nyie wanawake wa sasa?! πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Inategemea ananipa nn huyo
 
Back
Top Bottom