Hawa ndiyo NMB hakuna reply hata Moja Toka kwao.
Wameonesha rangi Yao ni ipi katika kutoa huduma
 
NMB sijawaelewa

hv ni mmepandisha makato kimya kimya kwenye ATM au

nimetoa 190 nimeakatwa 4000 hii imekaaje??
 
Jamani naombeni msaada,Card yangu ya NMB Imefutika Namba, Nifanyeje?

Lakini pia nahitaji kubadilisha Account kutoka kwenye Chapchap hadi kwenye account ambayo ni nzuri Zaid,msaada wenu pls
 
Nataka niwaulize swali hivi ukiingia kwenye ile app ya NMB click ukauliza salio pia kuna makato? Nimefanya kama mara tatu hivi naona 5000 imeondoka
Ndugu yangu huko kila kitu utakacho fanya lazima ukate tena sio kidogo hata huku kwenye menu ya kawaida nilazima ukatwe maana unatakiwa uwe na vocha kwenye simu sio kifurushi hapana ni vocha kama vocha
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1.
Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom

Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1.
Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Habari, samahani naomba usaidizi kidogo, nilitaka kufungua account ya NMB CHAP CHAP, kila mtoa huduma anapotaka kutaka kuisave account kwenye system, anaambiwa kuwa mimi tayari nina account ambayo nishaifungua,

Ili hali mimi maisha yangu yote sijawahi fungua account yoyote ya kibank,
Nimetumia kitambulisho cha NIDA imeshindikana, Nimetumia kitambulisho cha mpiga kula nako imeshindikana,

Naomba kufahamu nini tatizo
 
Tatizo la NMB kwa nini fedha ikiwekwa kwenye account mnamjulisha mteja lakini ikichukuliwa mnamficha mteja.kuna Siri gani hapo.hilo limewafanya wengi kukimbia wakidai kuna ufisadi.
 
Back
Top Bottom