Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 2,263
- 3,581
Unaweza kuwataja unaowajua wewe kuwa ni wadada halisi hapa jf?mara nyingi wadada hujulikana humu JF
Unaweza kuwataja unaowajua wewe kuwa ni wadada halisi hapa jf?mara nyingi wadada hujulikana humu JF
Kutokana na sera za nchi hii mfano ili Upewe passport unatakiwa uwe na nyaraka zote kuanzia cheti Cha kuzaliwa Pia foleni,uhakiki wa nyaraka, gharama kubwa, kuombwa rushwaKwa tunabaniana sana ishu ya Passport bongo?
Siwezi, kwasababu ID za watu humu ni suala binafsi na kutokana na Sheria za JF zinaruhusu mtu yeyote yule aweze kutumia jina analolitaka pasipo kuvunja Sheria za jukwaa hiliUnaweza kuwataja unaowajua wewe kuwa ni wadada halisi hapa jf?
Hapana mwanadamu ndiye aliyeumba dhambiKwahiyo Mungu aliiumba dhambi?
Zipo dawa za kudhoofisha uume lakini dawa hizo zinapigwa marufuku dawa hizi hushusha homone za kiume(testosterone) pia Ina alter reaction za mwili na kupunguza (this is done genetically)Naomba kujua kama kuna dawa ya Kibamia
Maswali mliyomuuliza wanatumia chatgpt au deepseeker anawapa majibuSijakuelewa mkuu.
Ni kweli life has no formula lakini maisha yana strategy+condition ili uweze kufikia unachohitajiJe ni kweli maisha hayana formula??
Walimu wa mathe- 🤣wa form three B hamna jambo dogoTwo coins are tossed 500 times, and we get:
Two heads: 105 times
One head: 275 times
No head: 120 times
Find the probability of each event to occur
Wachoraji wa ramani za zamani walizingatia bahari, mito, milima, na resources zingine za asili kama marejeo yao. Walitumia safari za baharini(kwa kutumia mashua), nyota, na taarifa kutoka kwa wasafiri ili kuchora ramani.Aliechora ramani ya dunia alikaa kwenye angle gani?
Hakija kidhi vigezo. 😂😂😂😂Kitombanyoko
Sifahamu kwasababu Mimi sio mwanamkeKwa nini wana2ake wapo tayari kufanya 3some ya punene lakini ya tigo hawataki?
Sasa sii umesema chochote wee bwege niniSifahamu kwasababu Mimi sio mwanamke
Wee em sema kwelii.Zaidi ya nusu lita
According to the qualities of a good leader jamaa alikuwa haropoki kiongozi wa kweli hujiamini, husema Yale maovu yanayofanyika.Kwanini magufuri aliamini uongozi ni kuropoka hovyo na vitisho kwa subordinate wake....au alikuwa na matatizo ya Afya ya akili?....kwa sababu leo hii tunaona rais ni mwanamke na anaongea kwa upole mambo yanaenda...
Sasa si tunauliza chochote, km ambavyo yeye amedai. Lol🤣🤣🤣🤣 Coca hapa umetisha Sana,duh!
Kwa kigezo gani lack of clear mindset on our technologies still creates stupid people Kuna AI detectors unaweza kudetect utumiaji wa AI nilishazungumzia kwenye Uzi fulani AI itatengeneza wajinga kutokana na kwamba kila wanachokiona watadhani ni AI pasipo kutambua AI Zina makosa na zinatoa data kwetu.Maswali mliyomuuliza wanatumia chatgpt au deepseeker anawapa majibu
Nini sasa? Lol 😂😂😂😂Heeeeh jamaniiiiiiii