Hapana Nitakataa..
Kwanza Unatakiwa Ujue Kuna Range tofauti Za Frequency ambapo Kuna Frequence Range ya Visible Light au range of Electromagnetic Radiation In which Human can see ambazo ki kawaida NI 430 THz to 770 THz Chini ya Hapo au Zaidi ya Freaquency hizo Human Can not see na Hapo ndo Linakuja swala la Giza..
Umewahi Kusikia Black hole?
Unahisi kwanini macho ya Binadamu yanaona Black wakati Kiuhalisia Sio Black?
So Black or dark has Freaquency bellow 430Thz and above 770 Thz
Ambazo huwa Tunaziita Infrared Radiation na Ultraviolent radiation..Mionzi yenye Nguvu ambayo Binadamu hawezi kuiona ila ataona Giza tu
CC:
KENZY