Niulize chochote nikujibu

Niulize chochote nikujibu

Kwanini Nguruwe ni dhami na najisi lakini nyama yake tamu sana?
 
100.gif
 
Karibu kwenye uzi huu! Una swali lolote kuhusu mada yoyote? Niulize papo hapo, nikujibu haraka iwezekanavyo.
-Tokea Big Bang mpaka leo ni miaka mingapi na tukea Mungu(according to the believers) aumbe dunia ni miaka mingapi? Chanzo kipi ni cha uongo zaidi na sababu za jibu lako ni zipi.
  • Christians, Muslims, Buddhists, Hindus, Pagans, Atheists, Scientologists. Ainisha uongo wa kila kundi kati ya haya.
  • Jesus alizaliwa kabla ya Muhammad, inakuwaje maandiko inayodaiwa ni historia yake na habari za bloodline yake(his forefathers) ambayo wanafafanua kuwa yaliandikwa na watu yanafanana(kwa sehemu kubwa) na Quran ambayo inasemekana Mohammad alidondoshewa na Mungu. What's your take on this? Yaani watu waliandika na baadaye Mungu akaleta(akadondosha) kitabu almost similar na kitabu ambacho watu walishakiandika.
-Waafrika wako nyuma katika kila kitu kinachahitaji matumizi ya akili, kwanini?. Kwanini Waafrika tulitawalika?, kwanini hatukufika kuvumbua maeneo yakwao kabla wao hawajaja kuvumbua kwetu?. Kwa nini wameanza wao kufika anga za juu na mwezini sisi mpaka leo hatuna akili za kutuwezesha kufika huko na wengine wetu ni wapumbavu kiasi cha kuwa waoga kwa sababu za kidini ambapo hao waliotuletea hizo dini hawana uoga huo usio na maana wanaendelea na uvumbuzi.
 
Both japo ya 'kidini' ni mambo ya kubuni.
Kisayansi Before Big bang kulikuwa na singularity ambayo ni state where all the matter and energy of the universe were concentrated into an extremely small point, with infinite density and temperature, before the universe began expanding.
Sijui kama Unaelewa hapo..

sasa Kwanini Nilisema Giza lilianza maana singularity is often considered "dark" kwa sababu hakukuwa na mwanga,Space wala time so Kila kitu kilikuwa Compressed into a single point, Kwahyo kwa conditions Hiyo niliyotaja Hakukuwa na visible light au energy Yoyote kama Tunavozijua Leo hii..


Sasa Twende Kidini..

Utakubaliana na Mimi Kuwa Kwenye Biblia Kunasema Hapo mwanzo Mungu aliumba Mbingu na Nchi nayo nchi ilikuwa Ukiwa tena Giza na Giza lilitanda Kote mpaka Kwenye Vilindi vya Maji..

Hapo ni Kabla ya Kuumbwa kwa Mwanga..
 
Back
Top Bottom