Niulize chochote nikujibu

Niulize chochote nikujibu

Suala la elite members kuwa ni reptilians lina ukweli gani ???
 
Before, wakati wa Adam na hawa kulikuwa hakuna dhambi lakini baada ya shetani kumdanganya Hawa na kuvunja agizo la mwenyezi Mungu hapo ndio dhambi ilipo

Before, wakati wa Adam na hawa kulikuwa hakuna dhambi lakini baada ya shetani kumdanganya Hawa na kuvunja agizo la mwenyezi Mungu hapo ndio dhambi ilipo anza
Kwahiyo alieafanya dhambi iwepo ni Adamu na Hawa, au ni shetani?
 
Karibu kwenye uzi huu! Una swali lolote kuhusu mada yoyote? Niulize papo hapo, nikujibu haraka iwezekanavyo.
Unapata faida Gani na majibu unatoa wapi au wewe ni all in one jack of all trade master of none
 
Kwanini kwenye kutafsiri maana ya giza lazima ndani yake watu hugusia mwanga..?
giza kama giza kwanini isiwe na tafsiri yake bila kugusia mwanga..?

is the darkness has frequency..?
if yes why..? and if no why..?
Hapo unajiona bonge la jeniazi 😀😀🏃‍♂️
 
Mleta mada nashukuru kwa uzi wako huu walao tunapata kujua mawili matatu.

Swali langu mambo ya kisayansi kidogo.

Inaelezeka kuwepo giza ndio mama wa ulimwengu, kwamba vyote vimekuja hapa ulimwenguni vika mkuta giza.
Jua lilikuja likamkuta giza , kwa maana hio jua na mwanga kwa giza haviwezi kukaa kiti kimoja .

Tumeona nguvu ya jua na mwanga na mwanadamu ameweza kutumia nishati itokayo kwenye jua kurahisisha maisha yake.

Je ni kwa nini mwanadamu anashindwa kupata nishati kwenye giza au nguvu kwenye giza maana inasemekana dark energy itakavyo weza kuchakatwa na kutumiwa na mwanadamu hata kifo kitafikia kikomo maana dark matter itafunika matter zote, sio nyukilia, Magret, eletroniki solar nk .

Lini sasa mwanadamu atafanikiwa hilo?
 
Mleta mada nashukuru kwa uzi wako huu walao tunapata kujua mawili matatu.

Swali langu mambo ya kisayansi kidogo.

Inaelezeka kuwepo giza ndio mama wa ulimwengu, kwamba vyote vimekuja hapa ulimwenguni vika mkuta giza.
Jua lilikuja likamkuta giza , kwa maana hio jua na mwanga kwa giza haviwezi kukaa kiti kimoja .

Tumeona nguvu ya jua na mwanga na mwanadamu ameweza kutumia nishati itokayo kwenye jua kurahisisha maisha yake.

Je ni kwa nini mwanadamu anashindwa kupata nishati kwenye giza au nguvu kwenye giza maana inasemekana dark energy itakavyo weza kuchakatwa na kutumiwa na mwanadamu hata kifo kitafikia kikomo maana dark matter itafunika matter zote, sio nyukilia, Magret, eletroniki solar nk .

Lini sasa mwanadamu atafanikiwa hilo?
Samahani mkuu kwani giza si mwanga mweusi au?
 
Kila mafanikio yako watoto wa mke mwenzako wanahemea , nguvu yako unawatunza na huku mama yao yupo hi anatengeneza maisha yake.

Zamani mtu mwenye mtoto anapeleka kwabibi either apeleke watoto kwabibi mzae wenu au uwe girlfriend wake hadi uolewe na asio nao
Kama mtoto anaishi nae yeye ni sawa?
 
Samahani mkuu kwani giza si mwanga mweusi au?
Hapana, giza halijaundwa ila mwanga uneundwa.
Giza ndio limetawala ulimwengu mwanga haukuweza kulifukuza giza , na kuna sehemu katika ulimwengu mwanga umeshindwa kufanya kazi mbele ya giza, yaani mwanga uligeuzwa kuwa giza.
 
Mleta mada nashukuru kwa uzi wako huu walao tunapata kujua mawili matatu.

Swali langu mambo ya kisayansi kidogo.

Inaelezeka kuwepo giza ndio mama wa ulimwengu, kwamba vyote vimekuja hapa ulimwenguni vika mkuta giza.
Jua lilikuja likamkuta giza , kwa maana hio jua na mwanga kwa giza haviwezi kukaa kiti kimoja .

Tumeona nguvu ya jua na mwanga na mwanadamu ameweza kutumia nishati itokayo kwenye jua kurahisisha maisha yake.

Je ni kwa nini mwanadamu anashindwa kupata nishati kwenye giza au nguvu kwenye giza maana inasemekana dark energy itakavyo weza kuchakatwa na kutumiwa na mwanadamu hata kifo kitafikia kikomo maana dark matter itafunika matter zote, sio nyukilia, Magret, eletroniki solar nk .

Lini sasa mwanadamu atafanikiwa hilo?
duh hilo swali hata Einstein mwenyewe hawezi kulijibu,😀😀😀
 
Hapana, giza halijaundwa ila mwanga uneundwa.
Giza ndio limetawala ulimwengu mwanga haukuweza kulifukuza giza , na kuna sehemu katika ulimwengu mwanga umeshindwa kufanya kazi mbele ya giza, yaani mwanga uligeuzwa kuwa giza.
Mbona mi naona kama mwanga ndo Noumer kuliko giza kwa sababu ukipeleka mwanga kwenye giza,giza litakimbia lakini giza likienda kwenye mwanga litafanywa vibaya mno

Au u-noumer wa giza uko wapi
 
Back
Top Bottom