Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
14,131
Reaction score
33,902
Nimewamiss wanajukwaa.
Njooni tubadilishane mawili matatu, jichagulie swali hapo chini tupige story!

  1. Je wajua kwamba wanawake wana kiungo kimoja mwilini ambacho kazi yake ni kusikia raha tu na hakina kazi nyingine yoyote? Kama unakijua kitaje na utuambie wewe huwa unakishughulikiaje?

  2. Nifundishe kitu ambacho unahisi nitakua sikifahamu.

  3. Ukitaka mwenzako aje kwako au awahi kurudi nyumbani kwa sababu unataka akupe mambo, huwa unamuambiaje?
    Mie nina 2 ambazo hazijawahi kufeli; Baba ……. urudi mapema leo nina hamu na wewe & mpenzi leo nimepika ……… ila uje kwanza kunila mpishi, niko kitandani nakusubiri.

  4. Kitu gani ulishawahi kukishuhudia kwa macho na hutakisahau kamwe?

  5. Ushawahi kukutana na maumbile ya binadamu yakakushangaza? ilikuwaje?

  6. Kama kawaida: niulize swali lolote nitakujibu!

    joti interview comedy cheka JF.jpg
 
Back
Top Bottom