Niulize chochote nikujibu

Niulize chochote nikujibu

Nini kifanyike ili amani itawale duniani?
Kuweka na haki na usawa(dini,ranging,uchumi), pia kuweka na maelewano ya kidiplomasia, uzalishaji wa silaha upunguzwe(maana unachochea vita), ushirikiano wa mataifa, kupunguza umaskini(kwa kutoa fursa mbalimbali) mwisho naweza kusema Elimu
 
Kivipi? wakati dhambi ilianzia mbinguni, na mbinguni hakuna mwanadamu?
Before, wakati wa Adam na hawa kulikuwa hakuna dhambi lakini baada ya shetani kumdanganya Hawa na kuvunja agizo la mwenyezi Mungu hapo ndio dhambi ilipo anza
 
Kwa mfano nna generator 4 za kufua umeme
Nnataka generator zote ziungenishwe kwenye njia ya mkondo mmoja
Je vitu gani vyakuzingatia kabla ya kufanya hivyo.


Shukrani🙏🏻
 
Kwa mfano nna generator 4 za kufua umeme
Nnataka generator zote ziungenishwe kwenye njia ya mkondo mmoja
Je vitu gani vyakuzingatia kabla ya kufanya hivyo.


Shukrani🙏🏻
Umeme wa REA haujafika kijijini kwenu?
 
Kwa mfano nna generator 4 za kufua umeme
Nnataka generator zote ziungenishwe kwenye njia ya mkondo mmoja
Je vitu gani vyakuzingatia kabla ya kufanya hivyo.


Shukrani🙏🏻
Nitakujibu according to physics ingawa Mimi si mtaalam mkuu:
Kwanza kabisa nitahakikisha voltage na frequency zinalingana Incase voltage hazilingani utofauti unaweza kupelekea madhara kwa baadhi ya vifaa, protect mfumo wako kwa kutumia circuit breaker na fuse pia mfumo wa earth ni muhimu kuweka, pia hakikisha unatumia baadhi ya mifumo kuzuia overheating.
 
Yanga
Karibu kwenye uzi huu! Una swali lolote kuhusu mada yoyote? Niulize papo hapo, nikujibu haraka iwezekanav

Karibu kwenye uzi huu! Una swali lolote kuhusu mada yoyote? Niulize papo hapo, nikujibu haraka iwezekanavyo.
Kwenye hili sakata la kuahirishwa kwa mechi ya YANGA na simba....kwa uelewa wako nani mwenye makosa?
 
Yanga



Kwenye hili sakata la kuahirishwa kwa mechi ya YANGA na simba....kwa uelewa wako nani mwenye makosa?
Kwa mujibu wa Kanuni ya 17(45) za Ligi Kuu Tanzania bara tim inayochexa ugenin ina haki ya kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi angalau mara moja kabla ya siku ya mechi katika muda unaotarajiwa wa mchezo husika. Ila kuzuiwa kwa Simba kufanya mazoezi hayo ni ukiukwaji wa kanuni hizo. Nakumbuk kutokana na tukio hili Simba ilitoa tamko la kutocheza mechi hiyo, ikilalamikia kuzuiwa kufanya mazoezi kama sababu kuu. Hatua hii ilisababisha bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) kuahirisha rasmi mchezo huo ili kupisha uchunguzi zaidi.
 
Mpaka sasa umeshapiga mbususu ngapi unazozikumbuka kwa haraka haraka ?



Hapo ulipo kiuchumi unajionaje? Umefanikiwa ? Bado sana ama unajitafuta?



Mwisho, pesa yako kubwa kuwah kumiliki ni sh ngapi ? Asset zako zote pamoja na cash zinaweza worth 150m ? If not why ?
 
Umeuliza swali la jinsia yangu ndiomana nikaamua nikujibu, kuna mashaka??

Bei ya simu ungeingia kwenye website ya bidhaa husika..! Mi nipo shamba.
Hivi Kumbe nmekuuliza wewe jinsia yako
 
Back
Top Bottom