Niulize chochote nikujibu

Niulize chochote nikujibu

Kuhusu swali lako kuhusu giza kuwa na "frequency" giza kwa asili halina frequency. Giza ni ukosefu wa mwanga, na mwanga una frequency ambayo inahusiana na mawimbi ya nuru (light waves). Kwhy giza, kama giza lenyw halina frequency kwa sababu ni kutokuwepo kwa mawimbi ya mwanga. Frequency inahusiana na aina ya mawimbi, kama vile mwanga (ambao una wavelength na frequency), lakn giza lenyewe halina sifa hizi kwani ni ukosefu wa kitu kinachoweza kuhesabiwa kwa frequenc
sawa kwenye frequency tupo pamoja, sasa vipi kuhusu kutafsiri giza kwa kutumia mwanga, kwanini unafikiri haiwezekani kutafsiri giza bila kugusa mwanga..?
 
Kuhusu swali lako kuhusu giza kuwa na "frequency" giza kwa asili halina frequency. Giza ni ukosefu wa mwanga, na mwanga una frequency ambayo inahusiana na mawimbi ya nuru (light waves). Kwhy giza, kama giza lenyw halina frequency kwa sababu ni kutokuwepo kwa mawimbi ya mwanga. Frequency inahusiana na aina ya mawimbi, kama vile mwanga (ambao una wavelength na frequency), lakn giza lenyewe halina sifa hizi kwani ni ukosefu wa kitu kinachoweza kuhesabiwa kwa frequenc
Frequency ndo kama kitu gani
 
Akili mnemba.
Ni tusi?
La kumuumiza mtu?
Tangu lini?
Come on man! 😂
kafanye utafiti wako kuhusu akili mnemba halafu uje hapa!, ila usije huku unalia jifutie machozi hukohuko!.
ama kuna nyuzi humuhumu watu huziandika kwa kutumia akili mnemba ukibahatika kuzisoma ndo utaelewa kwanini nalitumia hilo neno kama tusi...🤣
 
Back
Top Bottom