Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Suala jingine linaloniacha na maswali mengi ni hivi inakuaje Mkuu wa Usalama wa taifa hata kama amestaafu kutopewa ulinzi na Idara japo walau walinzi walau watatu?
Mazingira ya kazi yenyewe na ukiongezea kuwa alikuwa mkuu wa U"spy" , inakuwaje Idara isimpe ulinzi?
.
Vipi angetekwa na kwenda kuvujishwa siri za nchi? Ukizingatia Uzee halafu yuko peke yake?!!
Mazingira ya kazi yenyewe na ukiongezea kuwa alikuwa mkuu wa U"spy" , inakuwaje Idara isimpe ulinzi?
.
Vipi angetekwa na kwenda kuvujishwa siri za nchi? Ukizingatia Uzee halafu yuko peke yake?!!