Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Baadhi ya mambo yaliyogharimu uhai wake ni pamoja na kuunga mkono waziwazi baadhi ya masuala kama vle;

Mzee wa Kiraracha anakamata tausi na madini airport. Mizigo hyo ikadaiwa ni ya fest ledi wa mzee wa fair.

Kulikuwa na fukuto mjengoni la kudai serikali 3 chini ya Njelu Kisaka na G55 yake ambao walipata nguvu kubwa ya Mwana Idara no.1

Nani asiyejua jinsi Mwana Idara no. 1 alivyokuwa upande wa Mzee wa Mtera kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 1995. Kiasi cha kupishana kabisa na Mzee Mchonga ambaye mpaka anakufa hakuwahi kumsamehe Mzee wa Mtera

Pia Mwana Idara alikuwa mpenzi mkubwa wa mabadiliko huko kwenye karafuu na nazi, alitamani Mgombea mkongwe wa Urais kila uchaguzi huko kwenye karafuu na nazi awe Rais lkn haikuwa hvyo.

Hivyo kuna wanaoamini Mchonga alitumia kura yake ya turufu katika kuamua hatma ya mwanaidara.

Aksanteni.
Kale kazee nako kamekufa kama mbuzi pumbavu,kalifikiri ni kamungu mpaka Leo kifo chake hajieleweki.mwosha huoshwa.
 
Doh! Kama ali surrender na bado wakamweka chuma it means aliwekwa za kifuani Sasa!

Kumbe alikuwa na mgombea wake mfukoni, ndio kilicho mcost. Ila hapo kuna utata kidogo huyo Che nka angeweza vipi ku injinia hiyo kitu wakati na yeye ndio alikuwa anaanza kuingia ofisini? Kwangu Mimi Naona hiyo 95 mzee wa kiraracha alikuwa ana connection kwenye system kuliko huyo Che nka..sasa aliwezaje kuamuru mtu aondolewe wakati hakuwa na mizizi kule?
Huyu mzee wa kiraracha nae alikuwa mzee wa idara
 
Baadhi ya mambo yaliyogharimu uhai wake ni pamoja na kuunga mkono waziwazi baadhi ya masuala kama vle;

Mzee wa Kiraracha anakamata tausi na madini airport. Mizigo hyo ikadaiwa ni ya fest ledi wa mzee wa fair.

Kulikuwa na fukuto mjengoni la kudai serikali 3 chini ya Njelu Kisaka na G55 yake ambao walipata nguvu kubwa ya Mwana Idara no.1

Nani asiyejua jinsi Mwana Idara no. 1 alivyokuwa upande wa Mzee wa Mtera kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 1995. Kiasi cha kupishana kabisa na Mzee Mchonga ambaye mpaka anakufa hakuwahi kumsamehe Mzee wa Mtera

Pia Mwana Idara alikuwa mpenzi mkubwa wa mabadiliko huko kwenye karafuu na nazi, alitamani Mgombea mkongwe wa Urais kila uchaguzi huko kwenye karafuu na nazi awe Rais lkn haikuwa hvyo.

Hivyo kuna wanaoamini Mchonga alitumia kura yake ya turufu katika kuamua hatma ya mwanaidara.

Aksanteni.

Watch your 6
 
Back
Top Bottom