JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Pia aliwahi kuwa IGP!! Yaani uwe IGP then mkurugenzi wa TISS ndani ya miaka isiyozidi 20 polisi wasikutambue..Hapana huo ni uongo naungana na ww
..Imran Kombe hakuwahi kuwa Igp.
..alitokea jeshini kwenda kuwa mkuu wa usalama wa taifa.
..jeshini aliongoza brigade ktk vita vya kagera.
..vita vilipokwisha akateuliwa kuwa Mnadhimu mkuu wa Jwtz, na baadae akahamishiwa usalama wa taifa.