Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Wali, tambi, mikate, viazi, chipsi, makande, futari ni vyakula vya kikike kike siwezi na sitaweza kula kamwe!

Vyakula gani baada ya masaa mawili tu vimeshayeyuka tumboni?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Magimbi viazi na mihogo navyo vinayeyuka?😁 Mkuu hilo tumbo blender?
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?

Wali ni mbaya kuzidi ugali kwenye afya, na Ugali unapunguza mwili ndiyo, lakini mwili hauwezi, kamwe kujengeka kama wa Gym kwa kuacha kula ugali, mwili una shrink, na yes unakuwa shapeless; Mwili wa Gym ( ni wa Gym tu ndugu )!

Mwili wa Kuacha ugali unafanana na wa Dr Janabi, sasa kama mwili wa Dr. janabi niwa Gym, hapo ni sawa na WA kwako ni wa Gym.

Ulipolala tumeamkia dogo!
 
Aisee!!
Kwahiyo unakaaje bila kula ugali? Tena mwanaume
Ndiyomaana kila siku Me huwa tunasimangwa na Ke hatuna nguvu za kula papuchi, tumeota manyonyo badala ya kuwa na vifua. Dume zima linarembua na kulamba lamba mdomo likiongea na Ke...🙄😡

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Aisee!!
Kwahiyo unakaaje bila kula ugali? Tena mwanaume
Ndiyomaana kila siku Me huwa tunasimangwa na Ke hatuna nguvu za kula papuchi, tumeota manyonyo badala ya kuwa na vifua. Dume zima linarembua na kulamba lamba mdomo likiongea na Ke...🙄😡

Ubinadamu ni kaziThe humanity is work.
Magimbi viazi na mihogo navyo vinayeyuka?😁 Mkuu hilo tumbo blender?
Magimbi ni miongoni mwa vyakula vya mizizi ambavyo sijawahi kuvielewa sawa na mboga iitwayo kabichi. Sasa kila siku nitakuwa nakula mihogo tu, seriously?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ndiyomaana kila siku Me huwa tunasimangwa na Ke hatuna nguvu za kula papuchi, tumeota manyonyo badala ya kuwa na vifua. Dume zima linarembua na kulamba lamba mdomo likiongea na Ke...🙄😡

Ubinadamu ni kaziThe humanity is work.

Magimbi ni miongoni mwa vyakula vya mizizi ambavyo sijawahi kuvielewa sawa na mboga iitwayo kabichi. Sasa kila siku nitakuwa nakula mihogo tu, seriously?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Mkuu kwahiyo leo ugali ukifutwa ndo bye bye 😂😂😂

Ugali ufutwe tu
 
Mkuu kwahiyo leo ugali ukifutwa ndo bye bye 😂😂😂

Ugali ufutwe tu
Kabisa, nilipokuwa Zoo nilikuwa nakamatia Ke kuanzia goli 4-7 huku Ke akienda 5 na kuendelea.

Nilipokuja Dar tu na hali ikabadilika papo hapo kwa kukosa ugali ule wa bara, nikijitutumua sana ni 4 nikiwa hoi kama nimetoka kubeba zege 😄

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Back
Top Bottom