Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

kabisa mkuu maana ukila sana mahindi ni hatari kwa afya kuna ugonjwa unapata ukiachana na kisukari
 
Kua na mwili ambao hauhitaji kwenda Gym sio kwa sababu ya kutokula ugali, watu tunakula ugali sana na kitimoto kwa sana na bado tuna miili imejenga kama vile tunaenda gym. Nenda usukumani na ukuryani, 97% ya main dish yao ni ugali lakini huwezi kukuta wako overweight.

Ugali ni wanga, usipokula ugali bado utakula wanga kwa namba nyingine, wanga haukwepeki kwenye maisha. Saa kusema ugali ni mbaya halafu unakula wanga nyingine mfano kwenye mkate, cake, wali nk hapo ndip inaonyesha watu wengi wana elimu ama uelewa mdogo kuhusu wanga ama ni wajinga tu.

Marekani hawali ugali, 40% ya population yao ni overweight, Mexico hawali ugali, 37% ya watoto wa umri wa shule ni obese ama overweight. Ugali haujawahi kua sababu ya overweight, miaka na miaka tumeamka wazee wetu walikua wanakula ugali tu na hawajawahi kua overweight.

Watu mna miili ya ajabu ajabu, inferior yenye kushindwa kuhimili wanga mnasingizia ugali. Tena ngoja nikaupige sasa hivi.
Tupo kwenye kizazi cha kipumbavu sana mkuu!

Wazee wetu wamekula ugali tangu wakiwa na miezi 2 lakini angalia akili zao!
.
Mfano akili za kizazi cha 60's utalimganisha na hili chenye akili kama za broila huku wanakataa kula ugali?
 
Tupo kwenye kizazi cha kipumbavu sana mkuu!

Wazee wetu wamekula ugali tangu wakiwa na miezi 2 lakini angalia akili zao!
.
Mfano akili za kizazi cha 60's utalimganisha na hili chenye akili kama za broila huku wanakataa kula ugali?
Hawa watoto wa 2000 wpuz sana

Ova
 
Ili usilete madhara, Kawaida ugali unatakiwa 1/4 ya msosi wote

1751297857438.png
 
Back
Top Bottom