Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Anayependa ugali ale kampeni za nini?
Mimi sipendi ugali, ila mara moja moja naumisi naugonga na mlenda na maziwa mgando
 
Ukishindwa kubadilisha mlo ukajikuta kila siku unarudia ugali uleule lazima uone ugali ni mbaya... Siku ukiweza kubadilisha mlo mara kwa mara ndipo utajua utamu wa ugali 😁
Achana na huyo muhaya yeye msosi wake ndizi na senene kila siku.

Hajui kuwa ugali mchawi mboga.
 
Hii ni hashtag au? Kila thread ugali this ugali tht. Whats going on?
 
Ugali unamfanya mtu aote ndoto za kutisha usiku..

Kula ugali kupita kiasi hukomaza uso.. Mtoto mdg anakuwa kama mtu mzma..
 
Hivi ndivyo tunavyo kula ugali,
Tena ni kwamama ntilie.
Hapo kuna matunda, wanga, mboga mboga, protein (maharage, nyama,dagaa)
 

Attachments

  • ugali1.jpg
    ugali1.jpg
    64.6 KB · Views: 10
Una matatizo sio bure, ugali huo ndo umekufanya ukapata Tako afu unaongea umatako hapa !!! Bastard kabisa
 
nyiendo vijana ambao ukiambiwa pakia mbuzi (beberu) kwenye pick up .. unaanza kulia na kuomba msaada..
 
View attachment 3389068

Oooh sababu ya sisi kudumaa hadi akili ni kwa sababu ya laaana , blah blah blah

NI UGALI, HAKUNA KINGINE.
Unakuta mtu anashindilia ugali usiku karibia mara 250 kwa mwaka, kinachofatia linapata constipation and hatari nyingine kiafya.
🤮🤮🤮

Kataa ugali, ugali ni mateso.
Kilichokudumaza ni SEMBE siyo Ugali,,, nyie viini mnawapa Panya na Nguruwe halafu mnabaki kufakamia makapi kwanini msidumae?
 
Back
Top Bottom