Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Wakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika wanapika ujinga ujinga mwisho wanatoa kitu DOSO yaani MALOLOSO kitu kibichi kibichi mpaka wageni wanuliza huu UGALI kapika nani?

Mimi najua jinsi ya kuusonga UGALI ila ndugu zangu especially dada zangu kupika UGALI ni zero kabisa hawajui.

Kama hujui sema sijui sio sipendi.
ugali na dagaa mchele"🥳🥳
 
Ndio nimemaliza kuula ugali halafu mboga ni mbaazi kwa karanga halaf fresh tu
 
Aisee. Mkuu umeongea kitu cha maana kweli.
Kuna mhaya alipika ugali aisee ulikuwa tepetepe kama ndizi.


Nyuma ya pazia wanasema sitaki ugali kumbe hawajuui kupika ugali
 
Ndo maana nasema wanaume tulio wengi ndo tumeharibu mifumo kwa kuendekeza ujinga,

Utakuta huyu ni mwanaume akiwa huko dar anaagiza kuku na wine, au na chipsi yai isikauke

Ugali ni msosi wa magheton wa haraka,

Mimi nilikuwa nashangaa kama wewe inakuaje mtu anakula ugali na kachumbari, kumbe watu tumekula mpk ugali na pilipili

Ugali msosi mtamu sana uwe unashikika sio ugali wa watu wa Tanga au Wairaq ugali kma uji,

Madhara yake ndo unakuta wana sukuma msambwandaaaaa kama mbamizwa katumeni cc DIVISHENI FOO
 
Mtu kutokupenda chakula flani wala hakuna ubaya wowote sema wanaochukia ugali wanawaona wanaokula ugali kama hawana akili, kwamba wao kuacha kula ugali ni ujanja na akili kubwa na wala ugali hawana akili, hapo ndio unashangaa.

Mtu haelezi madhara ya kiafya ya kula ugali bali anaponda tu ugali mbaya, wala wala ugali hawana akili halafu mtu huyo anajutanabaisha kwamba ana akili.

Ugali ni wanga, hauna kitu kingine zaidi ya wanga, mtu anaponda ugali eti hauna maana lakini anakwambia anapenda wali, unajiuliza huyu ndio alisema ana akili, maana ugali na wali, chips, mikate, tambi,na wanga nyingine zote ni wanga katika forms tofauti tofauti.

Stupidity is still common in Tanzania. Mtu ambae ameenda shule anajua samaki, nyama, maharage, mazao jamii ya kunde, maziwa nk vyote ni kutoa protini mwilini, wali, ugali, tambi na aina zote za nafaka ni kutoa wanga mwilini. Acha MCC waendelee kutawala tu.
 
Hivi kwenye shule zetu hususani za serikali wanafunzi wanakula nini?

Mleta mada hii mada sio sahihi.

Na pia mahindi ni chakula kibaya kwa dhana ipi?

Manake kama mwanaume anataka kuwa na nguvu za kiume, ugali dona ni option ya kwanza, kama mtu hataki presha, kisukari ugali dona ndio unamfaa, hata mtu anayetaka kuikimbia constipation ugali dona ni chaguo, sasa sijui unakashifu vyakula kwa sababu ipi...

Labda kama unawahimiza watu waache kula ugali ili waanze kupata kisukari, presha, na magonjwa mengine, baada ya wao kuanza kula unavyotaka wewe.
 
Wakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika wanapika ujinga ujinga mwisho wanatoa kitu DOSO yaani MALOLOSO kitu kibichi kibichi mpaka wageni wanuliza huu UGALI kapika nani?

Mimi najua jinsi ya kuusonga UGALI ila ndugu zangu especially dada zangu kupika UGALI ni zero kabisa hawajui.

Kama hujui sema sijui sio sipendi.
Huyu Jamaa ni hovyo ..
Angejua huu ugali unavyoenda panda thamani mwaka huu.. angetuliza tackle
 
Back
Top Bottom