Wahi kabla tatizo halijawa matatizoKATAA UGALI, UGALI NI MATESO.
Hongera kwa kula maugaliWakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika wanapika ujinga ujinga mwisho wanatoa kitu DOSO yaani MALOLOSO kitu kibichi kibichi mpaka wageni wanuliza huu UGALI kapika nani?
Mimi najua jinsi ya kuusonga UGALI ila ndugu zangu especially dada zangu kupika UGALI ni zero kabisa hawajui.
Kama hujui sema sijui sio sipendi.
Ni vile Stability akizuga kutoona ration yake kwa shemeji yake huku mate yanammwagika kimtindo.
Ugali umenikuza siwezi kamwe siwezi kuudharau.. Kwangu Mimi chakula ni ibadaWakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika wanapika ujinga ujinga mwisho wanatoa kitu DOSO yaani MALOLOSO kitu kibichi kibichi mpaka wageni wanuliza huu UGALI kapika nani?
Mimi najua jinsi ya kuusonga UGALI ila ndugu zangu especially dada zangu kupika UGALI ni zero kabisa hawajui.
Kama hujui sema sijui sio sipendi.
dharau za kiwango cha lami......ww inabidi ukaishi ulimwengu wa kwanza uko......unajitia kutupongea wala ugali uku unakaa nchi za ulimwengu wa tatu??KATAA UGALI, UGALI NI MATESO.
Kataa kudumaa
Kataa kula chakula cha wanyama