Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

FB_IMG_1751265693661.jpg
 
Wakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika wanapika ujinga ujinga mwisho wanatoa kitu DOSO yaani MALOLOSO kitu kibichi kibichi mpaka wageni wanuliza huu UGALI kapika nani?

Mimi najua jinsi ya kuusonga UGALI ila ndugu zangu especially dada zangu kupika UGALI ni zero kabisa hawajui.

Kama hujui sema sijui sio sipendi.
 
Wakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika wanapika ujinga ujinga mwisho wanatoa kitu DOSO yaani MALOLOSO kitu kibichi kibichi mpaka wageni wanuliza huu UGALI kapika nani?

Mimi najua jinsi ya kuusonga UGALI ila ndugu zangu especially dada zangu kupika UGALI ni zero kabisa hawajui.

Kama hujui sema sijui sio sipendi.
Hongera kwa kula maugali
 
Wakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika wanapika ujinga ujinga mwisho wanatoa kitu DOSO yaani MALOLOSO kitu kibichi kibichi mpaka wageni wanuliza huu UGALI kapika nani?

Mimi najua jinsi ya kuusonga UGALI ila ndugu zangu especially dada zangu kupika UGALI ni zero kabisa hawajui.

Kama hujui sema sijui sio sipendi.
Ugali umenikuza siwezi kamwe siwezi kuudharau.. Kwangu Mimi chakula ni ibada
 
KATAA UGALI, UGALI NI MATESO.

Kataa kudumaa
Kataa kula chakula cha wanyama
dharau za kiwango cha lami......ww inabidi ukaishi ulimwengu wa kwanza uko......unajitia kutupongea wala ugali uku unakaa nchi za ulimwengu wa tatu??
 
Back
Top Bottom