Black Tanzanite
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 589
- 763
Kmmmmk...kwamba reference code ni Doktori Jana B...🙌🤣Wali ni mbaya kuzidi ugali kwenye afya, na Ugali unapunguza mwili ndiyo, lakini mwili hauwezi, kamwe kujengeka kama wa Gym kwa kuacha kula ugali, mwili una shrink, na yes unakuwa shapeless; Mwili wa Gym ( ni wa Gym tu ndugu )!
Mwili wa Kuacha ugali unafanana na wa Dr Janabi, sasa kama mwili wa Dr. janabi niwa Gym, hapo ni sawa na WA kwako ni wa Gym.
Ulipolala tumeamkia dogo!