Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Vipi ugali wa uwele au Mtama?
Maana Mwl Nyerere niliwahi kusikia alikuwa akipenda ugali wa uwele na unaona IQ yake
 
Ukipinga ugali, pinga na vyakula vitokanavyo na Ngano, chips na vyakula vya viwandani,
Then uwe ni Veggan tu.
Wewe unapiga vita ugali lkn chips, pizza, Burgers, chapati, maandazi wala.
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Tafiti zinasema jamii walaji ugali huwa ni duni hata zikimilikishwa mali.
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Uko sahihi kutokana na kazi unayofanya, ila sisi wafanyakazi wa kutumia nguvu kama shughuli za ujenzi tupo site masaa mengi ugali ni kitu muhimu sana, na tukisikia watu mna udiscus ugali mnatuboa sana
 
Kua na mwili ambao hauhitaji kwenda Gym sio kwa sababu ya kutokula ugali, watu tunakula ugali sana na kitimoto kwa sana na bado tuna miili imejenga kama vile tunaenda gym. Nenda usukumani na ukuryani, 97% ya main dish yao ni ugali lakini huwezi kukuta wako overweight.

Ugali ni wanga, usipokula ugali bado utakula wanga kwa namba nyingine, wanga haukwepeki kwenye maisha. Saa kusema ugali ni mbaya halafu unakula wanga nyingine mfano kwenye mkate, cake, wali nk hapo ndip inaonyesha watu wengi wana elimu ama uelewa mdogo kuhusu wanga ama ni wajinga tu.

Marekani hawali ugali, 40% ya population yao ni overweight, Mexico hawali ugali, 37% ya watoto wa umri wa shule ni obese ama overweight. Ugali haujawahi kua sababu ya overweight, miaka na miaka tumeamka wazee wetu walikua wanakula ugali tu na hawajawahi kua overweight.

Watu mna miili ya ajabu ajabu, inferior yenye kushindwa kuhimili wanga mnasingizia ugali. Tena ngoja nikaupige sasa hivi.
Wao Wana junk food, unaposema wasukuma wanakula ugali na kwenda shbn



Unakula Wanga then , chips kuku fake carbonate drink then upo kwa Ac
 
Kwani mkuu ugali una issue basi?

Tunaukandamiza kwa mazoea na sifa eti: ...'bila ugali me sishibi'..., yaani ukishajengeka kisaikolojia namna hiyo unakuwa ka'ulishakula nyama ya mtu, huwezi kuacha!

Mi niliishi miaka mingi bila kuonja nguna ad nikazoea!

Kwani wazungu wanaishije na kutoboa bila hayo makitu?

Ugali hauna umuhimu wowote katika mpangilio wa chakula.
Jaribu siku ushike jembe ukalime shambani au ukabebe zege halafu mchana ule chipsi au ndizi uone tumbo litakavyokudai chakula
 
Inashangaza kuona mtu anapinga ugali bila kupinga wali.
Kwaupande wangu ugali nakula kila siku mchana pamoja na nyama au samaki au dagaa usiku ndo nabadilisha tena usiku napendelea kula tu matunda.

NB; Kiasi cha wanga unachokula kinatakiwa kiendane na energy unayoitumia katika shughuli zako za kila siku.
 
Screenshot_20250630-112300.png


Oooh sababu ya sisi kudumaa hadi akili ni kwa sababu ya laaana , blah blah blah

NI UGALI, HAKUNA KINGINE.
Unakuta mtu anashindilia ugali usiku karibia mara 250 kwa mwaka, kinachofatia linapata constipation and hatari nyingine kiafya.
🤮🤮🤮

Kataa ugali, ugali ni mateso.
 
View attachment 3389068

Oooh sababu ya sisi kudumaa hadi akili ni kwa sababu ya laaana , blah blah blah

NI UGALI, HAKUNA KINGINE.
Sijui kama shule ulienda ama lah na kama ulienda basi hii nchi ina safari ndefu ya kwenda.

Ugali ni wanga, wanga inadumazaje akili? Maana wali, ugali, mkate, tambi, chips na wanga nyingine kazi yake ni kuupa mwili nguvu.

Sasa usivyo na akili unasema ugali ndio tatizo, wanga nyingine je?
 
Sijui kama shule ulienda ama lah na kama ulienda basi hii nchi ina safari ndefu ya kwenda.

Ugali ni wanga, wanga inadumazaje akili? Maana wali, ugali, mkate, tambi, chips na wanga nyingine kazi yake ni kuupa mwili nguvu.

Sasa usivyo na akili unasema ugali ndio tatizo, wanga nyingine je?
Huyu jamaa hajui hata anachopambana nacho, vita dhidi ya ugali haina maana yoyote ikiwa hajui kuwa mjumuisho lishe wa ugali ni wanga kama ilivyo ubwabwa, mkate, chapati, ndizi, viazi n. k

Ni limbukeni fulani ambaye hana ufahamu thabiti.
 
Back
Top Bottom