SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 4,800
- 8,988
Blablah
Vipi ugali wa uwele au Mtama?Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
ulileta🤣🤸🤸🤸🙏"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Si ndio hapo🤣Sasa usipokula ugali utakula nini dipre
Tafiti zinasema jamii walaji ugali huwa ni duni hata zikimilikishwa mali.Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Katika hivi vyote ulivyovitaja chakula hapo ni mihogo na ugali tuChips, tambi, mihogo, viazi, chapati etc, ugali siupendi asee
Uko sahihi kutokana na kazi unayofanya, ila sisi wafanyakazi wa kutumia nguvu kama shughuli za ujenzi tupo site masaa mengi ugali ni kitu muhimu sana, na tukisikia watu mna udiscus ugali mnatuboa sanaKwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Wao Wana junk food, unaposema wasukuma wanakula ugali na kwenda shbnKua na mwili ambao hauhitaji kwenda Gym sio kwa sababu ya kutokula ugali, watu tunakula ugali sana na kitimoto kwa sana na bado tuna miili imejenga kama vile tunaenda gym. Nenda usukumani na ukuryani, 97% ya main dish yao ni ugali lakini huwezi kukuta wako overweight.
Ugali ni wanga, usipokula ugali bado utakula wanga kwa namba nyingine, wanga haukwepeki kwenye maisha. Saa kusema ugali ni mbaya halafu unakula wanga nyingine mfano kwenye mkate, cake, wali nk hapo ndip inaonyesha watu wengi wana elimu ama uelewa mdogo kuhusu wanga ama ni wajinga tu.
Marekani hawali ugali, 40% ya population yao ni overweight, Mexico hawali ugali, 37% ya watoto wa umri wa shule ni obese ama overweight. Ugali haujawahi kua sababu ya overweight, miaka na miaka tumeamka wazee wetu walikua wanakula ugali tu na hawajawahi kua overweight.
Watu mna miili ya ajabu ajabu, inferior yenye kushindwa kuhimili wanga mnasingizia ugali. Tena ngoja nikaupige sasa hivi.
Jaribu siku ushike jembe ukalime shambani au ukabebe zege halafu mchana ule chipsi au ndizi uone tumbo litakavyokudai chakulaKwani mkuu ugali una issue basi?
Tunaukandamiza kwa mazoea na sifa eti: ...'bila ugali me sishibi'..., yaani ukishajengeka kisaikolojia namna hiyo unakuwa ka'ulishakula nyama ya mtu, huwezi kuacha!
Mi niliishi miaka mingi bila kuonja nguna ad nikazoea!
Kwani wazungu wanaishije na kutoboa bila hayo makitu?
Ugali hauna umuhimu wowote katika mpangilio wa chakula.
Hapa umewahi waza concentration ya carbohydrates kwenye hivyo vyakula na end effect yake ni nini?!Wali, tambi mbona vingi tu
Sijui kama shule ulienda ama lah na kama ulienda basi hii nchi ina safari ndefu ya kwenda.View attachment 3389068
Oooh sababu ya sisi kudumaa hadi akili ni kwa sababu ya laaana , blah blah blah
NI UGALI, HAKUNA KINGINE.
Poor BrainView attachment 3389068
Oooh sababu ya sisi kudumaa hadi akili ni kwa sababu ya laaana , blah blah blah
NI UGALI, HAKUNA KINGINE.
Unakuta mtu anashindilia ugali usiku karibia mara 250 kwa mwaka, kinachofatia linapata constipation and hatari nyingine kiafya.
🤮🤮🤮
Kataa ugali, ugali ni mateso.
Mkuu kwema lakini
Huyu jamaa hajui hata anachopambana nacho, vita dhidi ya ugali haina maana yoyote ikiwa hajui kuwa mjumuisho lishe wa ugali ni wanga kama ilivyo ubwabwa, mkate, chapati, ndizi, viazi n. kSijui kama shule ulienda ama lah na kama ulienda basi hii nchi ina safari ndefu ya kwenda.
Ugali ni wanga, wanga inadumazaje akili? Maana wali, ugali, mkate, tambi, chips na wanga nyingine kazi yake ni kuupa mwili nguvu.
Sasa usivyo na akili unasema ugali ndio tatizo, wanga nyingine je?