Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Ugali kwetu uchagani ni chakula cha mwisho , naona ndio sababu ya mimi kuto upenda ni wachaga wachache mno wanaopenda ugali
Na nyie mpo kama wazaramo?
Wazaramo ndio zao kutokula ugali.

Mimi mwenyewe kabila letu chakula kikuu ni ndizi na Magimbi
Ila mimi siwezi ishi bila ugali😄
 
Mnaanza kukataa kula ugali, mnataka mle nini wajuba? Ugali ndio lishe ya kushiba ki uhakika. #bring back our ugali
 
Mchana ugali maharage
Usiku wali maharage
Mengineyo starehe.
 
Back
Top Bottom