Nina haki kama binadamu ya kupenda tena

Nina haki kama binadamu ya kupenda tena

Nyie ndo wale enzi za ujana wenu mlikuwa mmeweka vigezo kuwa kuolewa ni mpaka mwanaume mwenye gari kali,nyumba nzuri kipato na ajira,mkaishia kupewa ujauzito kwa umalaya wenu,leo hii unakuja kujilizaliza jf kutafuta huruma,nyie inatakiwa mfe hivyohivyo hamjaolewa. Ningefurahi ungesema mumeo ashafariki,lakini malaya kama wewe sikuhurumii.
 
Wana jamii Forums hamjambo, hapa ni mahali pekee ambapo naweza kuongea kwa uwazi na bila kuficha chochote. Kuna muda nakuwa na mawazo nashindwa wapi pa kusemea.

Iko hivi kwa sasa nina miaka 44 sijaolewa na sina mwenza ila nina watoto ambao nilipata na mpenzi wangu, mahusiano hatufanikiwa kufunga ndoa. Nimepambana na watoto kwa sasa wamekuwa wakubwa na wote wapo chuo kikuu.

Niseme sio kuwa nakuwa proud na haya maisha ila ilibidi nifunge kibwebwe ili nilee watoto maana mzazi mwenzangu tuliachana toka mtoto wa kwanza ana miaka sita.

Napitia wakati mgumu kwa vile sina mpenzi na kuna muda kama binadamu najisikia kuwa na mwenzangu. Sasa Naomba kwenye Jukwaa hili kama kuna mwanaume ambae na yeye ana watoto na anahitaji mwanamke mtu mzima ambae hawahitaji kuzaa tena karibu. Au mwanaume mgane.

-Ninafanya kazi ila sio mwajiriwa wa serikali.
-Maoni yenu pia ni muhimu lakini usinikatishe tamaa.
-Nina hakiFanya ujiunge dating sites utafute mzubgu

Wana jamii Forums hamjambo, hapa ni mahali pekee ambapo naweza kuongea kwa uwazi na bila kuficha chochote. Kuna muda nakuwa na mawazo nashindwa wapi pa kusemea.

Iko hivi kwa sasa nina miaka 44 sijaolewa na sina mwenza ila nina watoto ambao nilipata na mpenzi wangu, mahusiano hatufanikiwa kufunga ndoa. Nimepambana na watoto kwa sasa wamekuwa wakubwa na wote wapo chuo kikuu.

Niseme sio kuwa nakuwa proud na haya maisha ila ilibidi nifunge kibwebwe ili nilee watoto maana mzazi mwenzangu tuliachana toka mtoto wa kwanza ana miaka sita.

Napitia wakati mgumu kwa vile sina mpenzi na kuna muda kama binadamu najisikia kuwa na mwenzangu. Sasa Naomba kwenye Jukwaa hili kama kuna mwanaume ambae na yeye ana watoto na anahitaji mwanamke mtu mzima ambae hawahitaji kuzaa tena karibu. Au mwanaume mgane.

-Ninafanya kazi ila sio mwajiriwa wa serikali.
-Maoni yenu pia ni muhimu lakini usinikatishe tamaa.
-Nina haki ya kupenda tena.
Fanya ujiunge dating sites utafute mzungu au at least mkenya. Humu comments zitakupa stress bure. Wanaume wengi wa kiafrika kwao mahusiano ni pamoja na kuzaa, mwanamke awe mdogo n.k. Kwa umri huo bongo ukikuta mwanaume yupo single ujue aidha ni marioo (wale wa msingi kiuno atunzwe na mwanamke) au ana tabia zisizovumilika. Wenye uchumi mzuri wakifiwa au wakiachika tu tayari wadada mtaani wanajilengesha kama wote...huwezi kumkuta free.
 
Nyie ndo wale enzi za ujana wenu mlikuwa mmeweka vigezo kuwa kuolewa ni mpaka mwanaume mwenye gari kali,nyumba nzuri kipato na ajira,mkaishia kupewa ujauzito kwa umalaya wenu,leo hii unakuja kujilizaliza jf kutafuta huruma,nyie inatakiwa mfe hivyohivyo hamjaolewa. Ningefurahi ungesema mumeo ashafariki,lakini malaya kama wewe sikuhurumii.
Hii dunia ni yetu sote asante kwa ujumbe wako.
 
Fanya ujiunge dating sites utafute mzungu au at least mkenya. Humu comments zitakupa stress bure. Wanaume wengi wa kiafrika kwao mahusiano ni pamoja na kuzaa, mwanamke awe mdogo n.k. Kwa umri huo bongo ukikuta mwanaume yupo single ujue aidha ni marioo (wale wa msingi kiuno atunzwe na mwanamke) au ana tabia zisizovumilika. Wenye uchumi mzuri wakifiwa au wakiachika tu tayari wadada mtaani wanajilengesha kama wote...huwezi kumkuta free.
Asante kwa ushauri dear
 
Kila la heri madam upate ĥitaji lako la moyo

Angalizo mwaka 2021 simtaji jina kuna jinsia KE alipost anahtaj mwandan nam nikajaribu bahat yangu lakn nilichokuja kugundua kumbe n watu wa mfumo wanatafuta watu wao wale wanaoikosoa SIRI...KALI..

Niliponea chupuchupu
Pole sana ila kama mtu na wewe huhitaji bora usimtafute. Niko serious kwa mtu mwema alie na uhitaji kama wangu
 
Mimi ni mwanaume rijali
Umri tunaendana kiasi humo humo
Ni mwajiriwa serikali
Ni mfupi kiasi ila napambana na mazoezi kupunguza ukubwa wa tumbo ili urefu wangu asilia uonekane
Sina mke ila niliwahi kuoa nikaachwa
Watoto naogopa kusema ninao maana walishasema mimi sio baba yao ila nahisi wakisikia nimeoa watanifuata tu .
Ni mpenzi wa pombe hasa bia za kisasa ila sipotezi akil zangu nikinywa .
Nina usafiri wangu corolla nzuri kuliko zote mkoani mbeya .
Nina nyumba mbili za kwangu mkaoni mbeya ila ni msimamizi mkuu wa mali za urithi zipo huko Dasalaam hivyo tutaenjoy .
Sina shida ya ngono ila ni vile walau nipate mtu nikipatwa na shida huku bar watu wajue wanaenda kumwambia bwana wako amedondoka au ameshindwa kurudi hivyo nahitaji mwenza wa karibu tuwe wamoja tumalizie maisha yetu .
Napenda mbwa na paka hivyo ukinikubali jua umekubali kuishi na hao wanyama maana kwangu wamejaa kama zoooo

Nadhani mpaka hapo umenijua mimi ni nani enhee ,siji PM maana wewe ndiye umenitaka mimi sijakutafuta hivyo njoo PM mwenyewe ,sitataka maswali yoyote PM ila toa namba tuzungumze kwa sauti zetu .

Wako mme mtarajiwa .
Ahsante
Bro nakutakia kila la kheri,andaa card nitoe mchango kabisaa.
 
Back
Top Bottom