Nimetokea kumpenda sana Dena Amsi!

Nimetokea kumpenda sana Dena Amsi!

Mie mwenyewe nimechelewa kweli my dear.........................
Dahh
Hii thread nimeipenda
ningewahi kidogo tu
ningekusanya wafuasi wote
halafu tunapeleka kama ile ya
kipindi kile eeeee...
 
Hahaa,mnanikumbusha mwaka juzi .nilikua heartbroken baada ya kuachana na gf wangu basi nikawa na mawasiliano na demu mmoja kwenye site ya topfun akiitwa Aviantie akidai ni mfilipino.alinisaidia sana kunipoza machungu ya kutengana na gf wangu.basi tukawa wapenzi kweli ikafikia sasa nikaupload picha yangu naye nikamwambia afanye ivo.kipindi hicho namshawishi aje tz ili nimfanyie mpango afanye kazi kwenye kampuni yetu lengo tu awe nami ili eti kumuoneshea ex gf wangu kuwa sasa nimevuta mfilipino...kudadadeki hajabandika picha nikakuta ni onyango.librazaman nilipanick nikikumbka siri zangu nilizommwagia nikaanza kumpa mabango ya hasira jamaa likanijibu kifupi.MIND YOUR LANGUAGE PLEASE UNLESS YOU WANT A BAN.
Mpaka leo sina hamu na siingii tena topfun.lt
 
Hahaa,mnanikumbusha mwaka juzi .nilikua heartbroken baada ya kuachana na gf wangu basi nikawa na mawasiliano na demu mmoja kwenye site ya topfun akiitwa Aviantie akidai ni mfilipino.alinisaidia sana kunipoza machungu ya kutengana na gf wangu.basi tukawa wapenzi kweli ikafikia sasa nikaupload picha yangu naye nikamwambia afanye ivo.kipindi hicho namshawishi aje tz ili nimfanyie mpango afanye kazi kwenye kampuni yetu lengo tu awe nami ili eti kumuoneshea ex gf wangu kuwa sasa nimevuta mfilipino...kudadadeki hajabandika picha nikakuta ni onyango.librazaman nilipanick nikikumbka siri zangu nilizommwagia nikaanza kumpa mabango ya hasira jamaa likanijibu kifupi.MIND YOUR LANGUAGE PLEASE UNLESS YOU WANT A BAN.
Mpaka leo sina hamu na siingii tena topfun.lt
 
teh teh i kali
usimtishe mwezio bwana mwache ampate ..subiri mwenyewe anakuja ATAMJIBU..mi cha kumsaidia nimemwambia abadirishe avatar io ..
ahh mintakuwa maid pale nyuma kushika shela na kufuta vijasho vtakavyotoka kwenye ushung mwekundu wa dada DA!!!!!!

Unapenda kushika shela Shemejieeeee! Unajua nakuheshimu sana shemeji! Yaani wewe yaani yaaani kweli shemeji! Jana tu tumepatana leo shemeji yaaniiiiiii haya bana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom