Nimetokea kumpenda sana Dena Amsi!

Nimetokea kumpenda sana Dena Amsi!

:hug:Habari zenu wanajf! Nafikiri kupenda si dhambi na kila mtu ana haki ya kupenda au kupendwa. Mimi nimetokea kumpenda sana binti huyu kwa namna anavyochangia mada hadi sasa napenda kukutana naye, kuzungumza naye, kukubaliana naye, kupanga naye na hatimaye kujivinjari naye. Namuomba kama atakupita hapa anipe namba yake ya simu ili tuwasiliane, ila asinipe namba ya gari kwa vile nina nia naye nzuri tu. Hata nyie akina rose80, afrodenz nk mwaweza kumshauri mwenzenu huyu ili liwezekane. Kama ana mkataba na mtu mwingine basi, Nawasilisha.:hug:
Jilipue tu!
Nami nampenda yu makini na mfuatiliaji wa mambo!
Kwani muda wote huo hana Mume/bwana?
 
Tetesi,

Gadafi kazimia kwa mshituko baada ya kuona kakubaliwa kiulaini na kumalizana kiutu uzima. Akitoka ICU atajibu.
 
yaani jamaa ana post 75 tu kaondoka na kifaa wakati malegend tuna post 2000 na PM 800 bado tunasota. tunaripoti abyuzi bana

mwenzio katangaza nia live wewe ulisha wahi kufanya hivyo, au ulikuwabado upo-upo kwanza, usijali lakini mbona watoto bado kibao humu tena wakali tu, umemcheki Lizzy alivyotulia au wewe hupendi black is beauty? angalia figa yake, pozi lake, au wewe unapenda XL
 
mwenzio katangaza nia live wewe ulisha wahi kufanya hivyo, au ulikuwabado upo-upo kwanza, usijali lakini mbona watoto bado kibao humu tena wakali tu, umemcheki Lizzy alivyotulia au wewe hupendi black is beauty? angalia figa yake, pozi lake, au wewe unapenda XL
mkuu, huyo hapo red ni member wa JF?
 
hongera kwa kutoa dukuduku, D anaonesha ni dada mstaarab.. hata akikutosa atafanya kiheshima......
 
mwenzio katangaza nia live wewe ulisha wahi kufanya hivyo, au ulikuwabado upo-upo kwanza, usijali lakini mbona watoto bado kibao humu tena wakali tu, umemcheki Lizzy alivyotulia au wewe hupendi black is beauty? angalia figa yake, pozi lake, au wewe unapenda XL

Jamaa domo zege anabakia kulalamika. Yaani kama JF wanagawa mke ama mme kwa post na PM ndo tutajua leo! Kitu kisu kikali man!
 
Afadhali unisaidie sijui kiswahili nilichomfundisha shule kimeenda wapi maana ananiabisha sana huyu dawa ya malaria aka klorokwini

Ngoja kidogo atakuuliza MARALIA NI NINI! Watu wengine hawajui kutamka malaria.
 
:hug:Habari zenu wanajf! Nafikiri kupenda si dhambi na kila mtu ana haki ya kupenda au kupendwa. Mimi nimetokea kumpenda sana binti huyu kwa namna anavyochangia mada hadi sasa napenda kukutana naye, kuzungumza naye, kukubaliana naye, kupanga naye na hatimaye kujivinjari naye. Namuomba kama atakupita hapa anipe namba yake ya simu ili tuwasiliane, ila asinipe namba ya gari kwa vile nina nia naye nzuri tu. Hata nyie akina rose80, afrodenz nk mwaweza kumshauri mwenzenu huyu ili liwezekane. Kama ana mkataba na mtu mwingine basi, Nawasilisha.:hug:

Naona JF inaelekea kushoto badala ya kulia... Haya mambo uliyo andika kwenye hii thread yako hayakustahili kufunguliwa thread kabisa, ulitakiwa kumtumia PM na ndio maana ikawepo kwaajili ya mambo kama haya uliyoyaweka hapa....

Na sema huu ni upuuuuuuuuuuuuuuuuuuzi live haiwezekani watu mna shadadia upuuzi kama huu na kuchagia hadi page 9, nimeamini maneno ya Invisible kwamba siku hizi wanapokea waouuzi wengi kwenye mtandao huu!
 
Kaka uwe tayari kumpokea Dena Amsi hata kama ni chongo, usije kutuletea hadithi kuwa ana sura mbaya, mtafute kwanza umwone sura kisha upime kauli zake. Jinsi anavyochangia humu isiwe kigezo pekee, Angalia JK anatabasamu nzuri kila siku ila kamwacha Lowasa akipata ajali ya kisiasa jamaa anatabasamu mpaka EL amekwisha kisiasa.
 
Kaka uwe tayari kumpokea Dena Amsi hata kama ni chongo, usije kutuletea hadithi kuwa ana sura mbaya, mtafute kwanza umwone sura kisha upime kauli zake. Jinsi anavyochangia humu isiwe kigezo pekee, Angalia JK anatabasamu nzuri kila siku ila kamwacha Lowasa akipata ajali ya kisiasa jamaa anatabasamu mpaka EL amekwisha kisiasa.

Mke wa mtu hakashifiwi. Can I say annexture P2!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom