klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
nani aligawa haya majukumu? uporoto? cuz naona kagonga senks chap chapMmh jamaa gani huyo??Alafu embu acha kunichekesha!Nikuombe vocha kwani we hujui ni jukumu lako mpaka niombe?
nani aligawa haya majukumu? uporoto? cuz naona kagonga senks chap chapMmh jamaa gani huyo??Alafu embu acha kunichekesha!Nikuombe vocha kwani we hujui ni jukumu lako mpaka niombe?
Hahaha! mimi hili la vocha nina aleji nalo miaka ya nyuma kuna binti nilikuwa namtumia vocha kila siku na hajawahi nipigia nilikuwa napiga mimi tu yeye ni sms na kubeep.
Nimetoa mimi...kwahiyo utatoa au unataka dezo tu?nani aligawa haya majukumu? uporoto? cuz naona kagonga senks chap chap
Yaani we binti,we acha tu,sijui nikufungulie thread na mimi lol!
Ina maana my wife kweli huyu kesha......... kweli. Mnatupunguzia utamu bana. Ndo kwanza tumewowana juzijuzi tu! Mijitu mingine. Hata mkisema sioni kinyaa sasa! DA waache waseme mm nimeoza kwako![/QUOTE
Punguza hasira basi,kwani hakuna lisilowezekana kwa mwanadamu................
Hapana mkuu.... na mtakia kila la kheri! ana uhakika na uhuyo anayemtaka kama kweli ni mwanamke? maana siku hizi hapa JF watu wanaingia na ID za kike na kucomment kikike kike!au una mind mwenzio kupata jiko? acha hizo Uncle Rukus.
hamna msamiati jibaba, tupo na gadaffi hapa, kaomba penzi halaf mdada DA kajiachia lakini gaddafi kahamia bengazi, haonekani.sema klorokwini
hamna msamiati jibaba, tupo na gadaffi hapa, kaomba penzi halaf mdada DA kajiachia lakini gaddafi kahamia bengazi, haonekani.
Baba unataka msamiati? Sina ila ngoja nikupe msemo,wanasema kujamba ajambe mbwa,kutawadha utawadhe wewe,wapi na wapi?Ndio mambo ya Gadafi na watu wa magharibi...
yaani jamaa ana post 75 tu kaondoka na kifaa wakati malegend tuna post 2000 na PM 800 bado tunasota. tunaripoti abyuzi bana
Punguza hasira basi,kwani hakuna lisilowezekana kwa mwanadamu................
We huna hasira kwani. Mtu akishika hotel ya mtoto huchelewi kushika panga. Sasa we mtu anasema keshaingia chumbani kwa baba utafayaje. Utacheka tu!
Order!! Order!! Order!!