Bwana Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 3,635
- 7,581
Acha kujitesa mkuu mpe uhuru bi mkubwaMkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..
Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Acha kujitesa mkuu mpe uhuru bi mkubwaMkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..
Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Duuh mkuu mbona huku hata comment huwezi amini kqma kuna mtu ni above 45 hapa mkuuKuna babu zako na bibi zako humu. Yaani huyo mama yako uliyeshangaa yeye kuwa hapa kuna waliomzidi umri na wapo hapa
Mkuu show kali ujueAcha kujitesa mkuu mpe uhuru bi mkubwa
Kabisa yaani nawaheshimu walionizidi umriWala usinge angalia, daah saf sana umekuwa bint mzur sasa
Wewe umepigwa na butwaa hujui huyo mama anatumia ID gani humu.Kuwa na adabu
Koma we mjukuu wewe
Kumbe umeenda kusalimia wajukuu DaresalamaHahaha.........kumbe pangu pakavu 😅🙌
Ndo vile jicho moja dirishan na lingine kwa Smart ya mzeeKabisa yaani nawaheshimu walionizidi umri
Sasa vijana muwe na adabu , utakuta kumbe ni lukas mwashambwa .Mkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..
Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Ndio mjue tumo, mwenzio alimtukana baba yake, akagundua aliyemchamba Jana JF ni baba yake, mwisho kilichokufanya ushike simu ya mama yako ni nini huo nao ni utovu wa nidhamuWasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Hata siangalii muda huo mimi mwenyewe ntakuwa bize naandika uzi😌Ndo vile jicho moja dirishan na lingine kwa Smart ya mzee
Hakika Mkuu 🤗Kumbe umeenda kusalimia wajukuu Daresalama
Nikarudi hadi nyumbani kuangalia kwenye notebook yangu!Ikawaje? We kweli mzee 😂
halafu ukute GENTAMYCINE ndio username anayotumia yaani genta ndio mama yako.Mkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..
Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Kwahyo kama ungekuwa hujaandika ingekula kwako mazimaNikarudi hadi nyumbani kuangalia kwenye notebook yangu!
Kweli nimekula chumvi nyingi sasa 😜
FIkisha hiyo 45 uone kama comments zako zitabadilika. Hata muhuni huzeekaDuuh mkuu mbona huku hata comment huwezi amini kqma kuna mtu ni above 45 hapa mkuu
Daaah mkuu kuwa na maneno mzr sio maneno machafuSasa vijana muwe na adabu , utakuta kumbe ni lukas mwashambwa .
Mkuu ni mama yangu mzazi na kwann nisishike simu yakeNdio mjue tumo, mwenzio alimtukana baba yake, akagundua aliyemchamba Jana JF ni baba yake, mwisho kilichokufanya ushike simu ya mama yako ni nini huo nao ni utovu wa nidhamu