kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Nywila gani hizo babu😁Kabisa Mkuu
Ndiyo maana juzi nilitaka kumwomba Binti Sayunii awe ananisaidia kunitunzia hizo nywila 😜
Nywila gani hizo babu😁Kabisa Mkuu
Ndiyo maana juzi nilitaka kumwomba Binti Sayunii awe ananisaidia kunitunzia hizo nywila 😜
Naijua hiyo 😂Kabisa Mkuu
Ndiyo maana juzi nilitaka kumwomba Binti Sayunii awe ananisaidia kunitunzia hizo nywila 😜
Nywila za akaunti yangu ya pensionNywila gani hizo babu😁
Hahaha............ndiyo nipo kuwaomba waje wanitembelee Likizo ijayo 😜Naijua hiyo 😂
Si uwape wajukuu zako
Hapana ni Mshangazi dot comLabla ndo Erythrocyte
Nipo kwenye utani wa Babu na Mjukuu, si unajua huku shambani ni upweke kukaa mwenyewe 😜We mzee hovyo sana nakuona na nakufatilia ww na huyo kijana yaan mmeona kwa uzi ndo wa kuchombezana ..
😂😂😂🙌
Mh! Kwanini usiwape wanao babuNywila za akaunti yangu ya pension
Vinginevyo Babu yenu nitashindwa kuzikumbuka kabisa 😜🙌
Watakuja uandae mbuzi wa kuwachinjiaHahaha............ndiyo nipo kuwaomba waje wanitembelee Likizo ijayo 😜
Ahahah humu ndani kuna watu mna wazimu et 😂😂😂😂😂Hapana ni Mshangazi dot com
Haa Haa ndiyo mimi bi mkubwa wake, namchora tu 😅😅Hapana ni Mshangazi dot com
Umenijulia wapI know yuu
Mwache atumie bhnWasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Nimewamisi sana Wajukuu zangu, nitaandaa kwaajili yao 😜Watakuja uandae mbuzi wa kuwachinjia
Hakikisha kama unajua kuchinja unachinja naoNimewamisi sana Wajukuu zangu, nitaandaa kwaajili yao 😜
😅😅🙌Hakikisha kama unajua kuchinja unachinja nao
Wasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Umeonaaa eeeeh .Siku dada alivyogundua nina Id ya jf alinipiga biti la kwenda😃
Sema tu vile hatujuaniUmeonaaa eeeeh .
Sasa mimi bado ajagundua nimemuwahi yeye.
Ila humu kuna shangazi yangu ila ni vilw ajanijua tuu siku akijua na akasoma yale madude yangu walah nitakoma