Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Unaweza kuta Mama yako ndio cocastic 😁😁
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Kilicho kushangaza ni app au zaidi ya app,mbona kwa yeyote anayejitambua haumkosi humu.Halafu ulishazozana naye humu bila wewe kujua sasa.
 
Mkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..

Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Kwamba unadhani jf ni kwaajili yenu peke yenu watoto wa 2000
 
Hahaha...........Kwa kweli ningekoma iwapo angejua ID yangu😅

Nilishangaa kuona anauliza kama nimewahi kuingia na kusoma nyuzi za Chit chat

Nikamwambia Mimi na Uzee huu, utanikuta jukwa la Kilimo na biashara tu 🤗
Daah akisikia ivyoo, anaona amejiokotea kibabu chenye Elah 😅😅😅
 
Hahaha..............ila Kuna watu wanaweza kumiliki ID mbili, Mimi hii moja pekee huwa Kuna muda nasahau nywila (password) 🙌

Labda kutokana na zee nilionao 😜
Wewe kuna muda hadi unajisahau mwenyewe ndio itakuwa nywila?
 
Wewe kuna muda hadi unajisahau mwenyewe ndio itakuwa nywila?
Hahaha.............Kwa kweli 😜

Kuna Siku nilitembea hadi Benki nikiwa na Kadi yangu ya kutolea pension

Si nikawa nimesahau nambari ya Siri 🙌

Kweli tumezeeka sasa 😜
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Ukikagua vizuri unaweza kuta hata app ya Tinder ipo, chukulia vitu rahisi tu.
 
Back
Top Bottom